Nimesoma kitabu cha Evarist Chahali na kukatishwa tamaa

Nimesoma kitabu cha Evarist Chahali na kukatishwa tamaa

Mimi nilinunua li kitabu la Yerico la Ujasusi wa kidola, yaliyomo ni ujinga mtupu, sijajifunza lolote hadi sasa.

Kitabu kimejaa errors nyingi, sidhani kama kilihaririwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwepo,ilianza mara baada ya Uhuru na mwanzilishi alikuwa Emirius Mzena
TISS enzi za mwalimu haikuwepo. Huyo Mzena hakuwa Mkurugenzi wa TISS wala Hassy Kitine hakuondolewa akiwa Mkurugenzi wa TISS kwa kuwa haikuwepo.
 
Pole sana kwa kupoteza muda wako

Siku nyingine Uliza kidogo kuhusu credibility ya muandishi.

Hopeless Chahali
 
Maelekezo ya kukipata kitabu hicho haya hapa chini.
 

Attachments

  • Screenshot_20191225-131035.png
    Screenshot_20191225-131035.png
    107.1 KB · Views: 16
Kwa sababu wananchi wa kawaida hawana elimu na ufaham wao ni mdogo.
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Unapojifanya mjuaji kwenye vitabu vya watu hutaeleweka , kwanini usitunge chako ?
 
Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Wewe ni darasa la saba. Kwanini nasema hivyo? katika nchi ambayo haina uhuru wa habari, kusema , kuandika utawezaje kutoa conclusion kama hiyo? Wape watu uhuru waseme, weka uchaguzi huru uone kama kweli anapendwa. kama angelikuwa anapendwa, kwanini avuruge uchaguzi maana walalahoi ndio wanaompenda Rais kama ulivyosema, sasa anaogopa ninikama wanampenda? Kwanini awateke watu kama anapendwa? anaogopa nini? si unapendwa, acha watu wabwatuke maana hawana athali kwako!
 
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Kwa kazi nzuri anayofanya Mh Magufuli lazima awe na maadui waliokuwa wakipata dili Michepuko. Mh John Pombe Joseph Magufuli anapendwa na watu wengi sana. Nidhamu aliyoleta hapa nchini maendeleo ya nyanja mbalimbali aliyojenga anayemchukia ni shetani k ani hata kichaa anampenda. Mungu Mbariki Rais wetu na umlinde
 
Mimi nilinunua li kitabu la Yerico la Ujasusi wa kidola, yaliyomo ni ujinga mtupu, sijajifunza lolote hadi sasa.

Kitabu kimejaa errors nyingi, sidhani kama kilihaririwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ulidhani kimechapwa kwa rangi na picha za kuvutia..?
Sio kila mtu anaweza kusoma kitabu na akaelewa, kubali haukuandikiwa wewe.... endelea kusoma vijarida vya Shigongo kufurahisha ubongo kama unao.
 
Back
Top Bottom