Nimesoma kitabu cha Evarist Chahali na kukatishwa tamaa

Nimesoma kitabu cha Evarist Chahali na kukatishwa tamaa

TISS enzi za mwalimu haikuwepo. Huyo Mzena hakuwa Mkurugenzi wa TISS wala Hassy Kitine hakuondolewa akiwa Mkurugenzi wa TISS kwa kuwa haikuwepo.

Nisaidie ilikuwa ni nini waliyoongoza akina Mzena na Kitine.
 
Nisaidie ilikuwa ni nini waliyoongoza akina Mzena na Kitine.
TISS ilianzishwa mwaka 1996 chini ya utawala wa Benjamin Mkapa akiwa Rais. Kabla ya hapo TANU Youth League na baadae UVT (Umoja wa Vijana Tanzania) ndio walikuwa wanatoa hao walioitwa "Usalama wa Taifa" ambao ndiyo kina Mzena na Kitine wamo kwenye zama hizo.
 
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.

Kumbe wale wale Praise motherfvcken Team!

Magufuli this,Magufuli that...

Tired already!
 
Yaani unapoteza pesa yako kununua kitabu kilichoandikwa na Evarist Chahali ili upate maarifa zaidi?

Mtu anayejielewa na kumuelewa Chahali atanunua kitabu chake ili kujua ni kiwango gani cha ujinga alioweka ndani ya kitabu chake!

Ulichofanya hakina tofauti na mtu kichaa aje achukue nguo zako wakati unaoga bafuni halafu uanze kumkimbiza ukiwa uchi na baadaye useme, nilidhani nitamkamata!

Naomba ujue kuwa ''dish'' la Chahali limeyumba!
Umeongea ukweli mtupu, ila kilichosemwa sio cha kupuuzwa.
 
Uchaguzi huru? mtu anaogopa mpaka bendera za chama pinzani atakubali uchaguzi huru? wanaomshangilia na mabwege
Hao wananchi wanaompenda Mobutu wako wapi, angeacha uchaguzi wa serikali za mitaa akaapata aibu ya karne ambavyo angeangukia pua. Endeleeni kumdanganya na kujifurahusha kwa matumaini hewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnaobeza kazi za CHAHALI mi nawambia tupo mashabiki wengi wa kazi zake hapa nchini!!!Team chahali npo hapa!!!HALAFU jamaa alijuaje kuwa kipilimba yupo loyal kwa membe tena anamfanyia kazi ndani kitengo???ina maana zile teka teka zilikuwa na lengo la kumchafua jiwe?na zile risasi pia????
 
Kitu cha kwanza unachotakiwa kupima kwenye merit ya kitabu kabla yakupoteza muda wako angalia nani publisher na reputation ya kampuni.

Ndio maana mzee Mohammed Said huwa anajitapa chake kimechapwa na Oxford University Press. That is a big endorsement ina maana wanakubali research na facts za kitabu.

Hakuna publisher ata back kitabu ambacho hakina merit ya subject matter, even fiction book has to resemble facts.

The mere fact kitabu kakichapa mwenyewe Chahali na kampuni yake ya ‘AdelPhil Consultancy’ tena ni zile kampuni ambazo waafrika wanafungua kuombea hela za kusaidia afrika kwa wazungu. Ina maana humo ndani ya kitabu utakuta upuuzi mtupu kumejaa opinion tu and nothing of substantiation facts.

Kama mtu ana muda wa kupoteza anaweza pata bure tu kitabu chenyewe

Aaaargh qumamamaqe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.

Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.

Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.

Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.

Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Mimi huwa nasema kama Usalama wa Taifa ina akina Chahali basi tuna shida sana. Chahali hata akili tu unamwona hana. Halafu anadhani anazo...ndo hapo huwa napata shida zaidi.
 
Back
Top Bottom