Ukiwa kilaza huwezi kusoma habari za ujasusi ukazielewa hata siku moja.Mimi nilinunua li kitabu la Yerico la Ujasusi wa kidola, yaliyomo ni ujinga mtupu, sijajifunza lolote hadi sasa.
Kitabu kimejaa errors nyingi, sidhani kama kilihaririwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachoongelewa so kitabu cha ushushushu bali ni kijarida kinachoeleza sababu na jinsi Dr Kipilimba alivyotumbuliwa.
Anayo na page yake ya twitter inaongelea vitabu vyake, ana kimoja tu.
Ebu leta title ya icho kinachoongelewa hapa kama tofauti.
TISS enzi za mwalimu haikuwepo. Huyo Mzena hakuwa Mkurugenzi wa TISS wala Hassy Kitine hakuondolewa akiwa Mkurugenzi wa TISS kwa kuwa haikuwepo.Ilikuwepo,ilianza mara baada ya Uhuru na mwanzilishi alikuwa Emirius Mzena
Muandishi ndiyo nini?Pole sana kwa kupoteza muda wako
Siku nyingine Uliza kidogo kuhusu credibility ya muandishi.
'Kilewella' ndiyo kinini??Muandishi ndiyo nini?
Kilewella nalo ni neno la kiswahili? Kweli ni muhimu kuangalia "Credibility" ya Mwandishi kabla ya kusoma alichoandika.'Kilewella' ndiyo kinini??
Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.
Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.
Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.
Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.
Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Unapojifanya mjuaji kwenye vitabu vya watu hutaeleweka , kwanini usitunge chako ?Nilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.
Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.
Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.
Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.
Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Au ndo tunakinunua online kwa kuingia kwenye blog yake ya kulikoni ughabuniKuweka hapa haiwezekani kwa sababu kakikawekea password za kutosha
Au ndo tunakinunua online kwa kuingia kwenye blog yake ya kulikoni ughabuniKuweka hapa haiwezekani kwa sababu kakikawekea password za kutosha
Je kitabu kimesajiliwa na mamlaka husika au tnanunua kwa njia za panya ?Maelekezo ya kukipata kitabu hicho haya hapa chini.
Wewe ni darasa la saba. Kwanini nasema hivyo? katika nchi ambayo haina uhuru wa habari, kusema , kuandika utawezaje kutoa conclusion kama hiyo? Wape watu uhuru waseme, weka uchaguzi huru uone kama kweli anapendwa. kama angelikuwa anapendwa, kwanini avuruge uchaguzi maana walalahoi ndio wanaompenda Rais kama ulivyosema, sasa anaogopa ninikama wanampenda? Kwanini awateke watu kama anapendwa? anaogopa nini? si unapendwa, acha watu wabwatuke maana hawana athali kwako!Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Kwa kazi nzuri anayofanya Mh Magufuli lazima awe na maadui waliokuwa wakipata dili Michepuko. Mh John Pombe Joseph Magufuli anapendwa na watu wengi sana. Nidhamu aliyoleta hapa nchini maendeleo ya nyanja mbalimbali aliyojenga anayemchukia ni shetani k ani hata kichaa anampenda. Mungu Mbariki Rais wetu na umlindeNilinunua kitabu cha "KUPANDA NA KUSHUKA KWA KIPILIMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TISS" kilichoandikwa na Bwana Evarist Chahali.
Kwa kweli lazima nieleze kuwa Mimi nina uchu sana wa kujua masuala ya usalama wa Taifa tangu nikiwa mdogo.Huwa najiuliza kwa nini sipati jibu. Nilikuwa na mategemeo makubwa kujua hasa ni sababu ipi iliyofanya Kipilimba atimuliwe lakini sikupata jibu katika kitabu hicho.
Pia mwandishi anaeleza kwa kujiamini kuwa Kipilimba ni Mkurugenzi wa kwanza wa TISS kutumbuliwa tangu Tanzania izaliwe.Jambo hili siyo kweli. Mwaka 1975 Nyerere alimfukuza kazi Emirius Mzena baada ya kuonekana kuna "uhuni na majungu" kwenye idara.
Lakini pia Dokta Kitine anasimlia kuwa alitimliwa mwaka 1980 na nafasi yake kuchukuliwa na mhehe mwenzake Dokta Mahiga. Kitine alieleza sababu za kutimliwa kuwa ni kununua gari bila kumtaarifu Mwalimu jambo ambalo lilitafsiriwa kuwa alikwepa kulipa kodi na aliiba pesa ya mwajiri wake.
Evarist anajitahidi sana kutujuza masuala ya usalama wa Taifa wa Tanzania, lakini napenda kuthibitisha kuwa Rais Magufuli hachukiwi kwa kiasi alichoeleza Chahali. Wananchi wa kawaida wanampenda mno Rais Magufuli.
Mimi nilinunua li kitabu la Yerico la Ujasusi wa kidola, yaliyomo ni ujinga mtupu, sijajifunza lolote hadi sasa.
Kitabu kimejaa errors nyingi, sidhani kama kilihaririwa
Sent using Jamii Forums mobile app