Nimestushwa na Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Je ni kufilisika ki Maono kwa CCM?

Fix fix nyingi wewe muongo muongo tumekushtukia kaanyaboya kabisa wewe usituone sisi viande
Tafuta ujuzi then nicheki nikutafutie ajira uache kuwa na makasiriko yasiyokuwa na maana. Hizo hasira sababu ya njaa ukishiba utakuwa unaelewa vitu vidogo kama hivi.
 
Tafuta ujuzi then nicheki nikutafutie ajira uache kuwa na makasiriko yasiyokuwa na maana. Hizo hasira sababu ya njaa ukishiba utakuwa unaelewa vitu vidogo kama hivi.
Ungekuwa na Kazi ya maana ungekuwa chawa .

Na unakuwa chawa wa mtu anayeoga na mama yake kwa lengo la kutimiza masharti


Pale kwa zena Mbezi beach mnakalishwa na mwanume mwenzenu


Mimi nimefanya hapo Kazi Kama security ****

Nitakulipua na tabia zenu zote
 
Mlipue huyo kiazi mlipue usimuache hivi hivi
 
Duh ulivyonielezea kama vile unanifahamu 😅. Lakini najua una tatizo kwenye intelligence.
 
Hii point ina ukakasi sana, PM alipuyanga
 
Tafuta ujuzi then nicheki nikutafutie ajira uache kuwa na makasiriko yasiyokuwa na maana. Hizo hasira sababu ya njaa ukishiba utakuwa unaelewa vitu vidogo kama hivi.
Dogo acha mashauzi ya kijinga wakati unaishi kwa kutegemea mwili

Unakumbuka siku ile nilipoegemea Gari ya Nassib ile ya blue ikatoa sauti ndo akaja kuangalia

Unakumbuka Nassib alisemaje ?

So unajitapa JF wakati wewe masikini tu ni vile Nassib anawapa show off kula kulala na mavazi Ila in reality hamna kitu
 
Kwamba unampeleka mtu kusomea uhandisi (engineering) chuo kikuu anahitimu hakuna ajira, hawezi kujiajiri sababu hana skills (stadi za kazi)alizopaswa kupata chuo kikuu, unasema arudi elimu ya chini VETA kupata hizo skills ili aweze kujiajiri?
Kwanini usimpatie hizo skills akiwa chuo kikuu?
Hao engineers walitakiwa wawe waalimu wa VETA siyo wanafunzi wa VETA.

Tatizo hapa ni mfumo wetu wa elimu. Unazalisha watu wasio mahili. Wanakosa skills.

Note:
Kwa vile tumeshakosea kwenye elimu basi ushauri wa Kassim Majaliwa utasaidia kama mbadala. Suluhisho la muda mfupi.
 
Ni kweli elimu yetu ina shida.

Ila ukiitumia kama excuse utaozea mtaani.

Jipambanie tafuta ujuzi maisha yaende.
 
Tumia kichwa halisi kufikiri usifikirie kwa kichwa cha kwenye boxa blaza kada mkishavimbiwa huwa hamfikirii kabisa
 
Dr. Mushi Kuna muda huwa tunapishana mitazamo mpaka kuparulana 😊 kwenye hili nakuunga mkono hoja yako.

Ni kweli tupu ulichokisema mbaya Zaidi utashangaa nyuzi Kama hizi kufutwa.

Kuna nguvu 2 tu zinainua Mtu kimaisha.

Kuinuliwa huko kunaweza kumfanya mtu husika asahau alipotoka.

Hizi nguvu 2 ni
1. Nguvu ya MUNGU
2. Nguvu ya IBILISI
Mara nyingi NGUVU YA IBILISI iliyomuinua Mtu kimaisha huwa Ina tabia na mazoea ya kumfanya Mtu asahau alipotoka mpaka alipo.

Ni mara chache sana kukuta Mtu aliyeinuliwa na nguvu ya Mungu kutema nyongo kama hizo😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…