Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Majuzi lilipotokea tukio la kutupiana risasi baina ya vijana wetu wa jeshi la polisi na bwana Hamza vimenifanya nifikirie saana juu ya uwezo wa polisi katika kulenga shabaha! Hamza alikuwa sehemu ya wazi! Lakini zilitumika risasi nyingi saana na polisi kumshambulia hamza. Mwishowe tulisikia wameuwawa askari 3 (polisi). Huku 6 wakiwa majeruhi!
Mara kadhaa huwa tunapewa taarifa na polisi ya kuuwawa kwa watu wanaosasikika ni majambazi waliokuwa wakijibizana na risasi na polisi. Cha ajabu huwa hakuna polisi anayejeruhiwa au kudhurika. Lkn tukio la hamza linanifanya niwaze mara 2, hawa askari ambao huwauwa wote wanaojaribu kutupiana nao risasi bila ya kudhurika iweje hamza aliweza kuwasumbua vile!? Tena akiwa stationary tena eneo la wazi!
Mtu mmoja tu tena akajeruhi idadi kubwa ya vijana wetu!
Sitegemei eti kuwa watajitetea kuwa walishtukizwa maana kitendo cha askari kwenda armory ukachukua silaha na kuingia doria tafsiri yake ni kuwa upo tayari katika mapambano kwa muda wowote
Mara kadhaa huwa tunapewa taarifa na polisi ya kuuwawa kwa watu wanaosasikika ni majambazi waliokuwa wakijibizana na risasi na polisi. Cha ajabu huwa hakuna polisi anayejeruhiwa au kudhurika. Lkn tukio la hamza linanifanya niwaze mara 2, hawa askari ambao huwauwa wote wanaojaribu kutupiana nao risasi bila ya kudhurika iweje hamza aliweza kuwasumbua vile!? Tena akiwa stationary tena eneo la wazi!
Mtu mmoja tu tena akajeruhi idadi kubwa ya vijana wetu!
Sitegemei eti kuwa watajitetea kuwa walishtukizwa maana kitendo cha askari kwenda armory ukachukua silaha na kuingia doria tafsiri yake ni kuwa upo tayari katika mapambano kwa muda wowote
