Nimetafakari sana juu ya uwezo wa Askari Polisi

Nimetafakari sana juu ya uwezo wa Askari Polisi

Mleta mada anajadili kuhusu shabaha ya polisi,nyinyi mnajitungia hoja nyingine!
 
20210829_210525.jpg
 
Na ndiyo inavyotakiwa adui unamsuprise kwa ambush, sio unaenda vitani face2face utapasuliwa mapema Bwashee.

View attachment 1915877
my point is walishtukizwa. usualy kwa maadui wengine wanakuwa wameshajipanga.
Hata mbishe za majambazi wanakuwa na taarifa wameshajipanga.
Na kama wangekuwa wameshajipanga, hamnza asingetoboa hatua kumi.
 
Majuzi lilipotokea tukio la kutupiana risasi baina ya vijana wetu wa jeshi la polisi na bwana Hamza vimenifanya nifikirie saana juu ya uwezo wa polisi katika kulenga shabaha! Hamza alikuwa sehemu ya wazi! Lakini zilitumika risasi nyingi saana na polisi kumshambulia hamza. Mwishowe tulisikia wameuwawa askari 3 (polisi). Huku 6 wakiwa majeruhi!

Mara kadhaa huwa tunapewa taarifa na polisi ya kuuwawa kwa watu wanaosasikika ni majambazi waliokuwa wakijibizana na risasi na polisi. Cha ajabu huwa hakuna polisi anayejeruhiwa au kudhurika. Lkn tukio la hamza linanifanya niwaze mara 2, hawa askari ambao huwauwa wote wanaojaribu kutupiana nao risasi bila ya kudhurika iweje hamza aliweza kuwasumbua vile!? Tena akiwa stationary tena eneo la wazi!

Mtu mmoja tu tena akajeruhi idadi kubwa ya vijana wetu!
Kwa kuaga miili niliona majeneza manne.
 
Mi nadhani hivi vipolisi vya sasahivi pia havina nidhamu. Mara kadhaa unavikuta vimeshika silaha mikononi viko lindo lakini havina tahadhari yoyote.

Muda mwingi vinachati na simunkulikonumakininwa kazi. Ningenshauri Siro azuie polisi kuchati akiwa kazini. Hii inawezekana kuwapatia device za mawasiliano zisizoruhusu mtu kuchati.

Hiki kizazi cha polisi wa miaka ya 1985 kuja mpaka juu huku 90 hamna kitu. Maarifa na umakini mdogo sana.

siku moja ili vikuelewe vizingue,ukikakuta kamoja kamezubaa katie kofi au katishie kukapora silaha.

kitakachotikea usisite kutujuza hapa.
 
Unapokuwa polisi au mwanajeshi unatakiwa uwe umejiandaa 24/7.
my point is walishtukizwa. usualy kwa maadui wengine wanakuwa wameshajipanga.
Hata mbishe za majambazi wanakuwa na taarifa wameshajipanga.
Na kama wangekuwa wameshajipanga, hamnza asingetoboa hatua kumi.
 
Mi nadhani hivi vipolisi vya sasahivi pia havina nidhamu. Mara kadhaa unavikuta vimeshika silaha mikononi viko lindo lakini havina tahadhari yoyote.

Muda mwingi vinachati na simunkulikonumakininwa kazi. Ningenshauri Siro azuie polisi kuchati akiwa kazini. Hii inawezekana kuwapatia device za mawasiliano zisizoruhusu mtu kuchati.

Hiki kizazi cha polisi wa miaka ya 1985 kuja mpaka juu huku 90 hamna kitu. Maarifa na umakini mdogo sana.
Na wewe wapore hizo siraha
 
Back
Top Bottom