Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Kwani makomandoo hawafi kiboya au hawawezi kutekwa mazingira yeyote hata mtu mwenye mafunzo ya juu akipotea step ndogo tuu anapotea...hakuna komando atakaekaa kibandani na sirahaUnaelewa maana ya komando kweli?
Huwa wananasa mawasiliano ya simu zao wakichati?Intelijensia hua inajua kuwa kuna wakora wanampango wa kuvamia sehemu, kisha polisi wanaweka mtego.
my point is walishtukizwa. usualy kwa maadui wengine wanakuwa wameshajipanga.Na ndiyo inavyotakiwa adui unamsuprise kwa ambush, sio unaenda vitani face2face utapasuliwa mapema Bwashee.
View attachment 1915877
ninaowaheshimu ni jwtz pekee hao wengine mjomba kanituma
Kumbe sasa tumeshajua kuwa ni polisi waliopoteza risasi zetu zaidi ya 30 wakashindwa kumuua Lissu aliyekuwa ameketi.
Uwezo wao unatia mashaka sana
hata jwtz wapo mjomba kanituma. ila wana sheria na nidham kuliko police
UVCCM + form4 division 4 = ?
Kwa kuaga miili niliona majeneza manne.Majuzi lilipotokea tukio la kutupiana risasi baina ya vijana wetu wa jeshi la polisi na bwana Hamza vimenifanya nifikirie saana juu ya uwezo wa polisi katika kulenga shabaha! Hamza alikuwa sehemu ya wazi! Lakini zilitumika risasi nyingi saana na polisi kumshambulia hamza. Mwishowe tulisikia wameuwawa askari 3 (polisi). Huku 6 wakiwa majeruhi!
Mara kadhaa huwa tunapewa taarifa na polisi ya kuuwawa kwa watu wanaosasikika ni majambazi waliokuwa wakijibizana na risasi na polisi. Cha ajabu huwa hakuna polisi anayejeruhiwa au kudhurika. Lkn tukio la hamza linanifanya niwaze mara 2, hawa askari ambao huwauwa wote wanaojaribu kutupiana nao risasi bila ya kudhurika iweje hamza aliweza kuwasumbua vile!? Tena akiwa stationary tena eneo la wazi!
Mtu mmoja tu tena akajeruhi idadi kubwa ya vijana wetu!
Mi nadhani hivi vipolisi vya sasahivi pia havina nidhamu. Mara kadhaa unavikuta vimeshika silaha mikononi viko lindo lakini havina tahadhari yoyote.
Muda mwingi vinachati na simunkulikonumakininwa kazi. Ningenshauri Siro azuie polisi kuchati akiwa kazini. Hii inawezekana kuwapatia device za mawasiliano zisizoruhusu mtu kuchati.
Hiki kizazi cha polisi wa miaka ya 1985 kuja mpaka juu huku 90 hamna kitu. Maarifa na umakini mdogo sana.
Siri ndio imefichuka hivyo!mnajuaje nyinyi raia!!!mambo ya kambini huko ni siri yao.
Siri ndio imefichuka hivyo!
my point is walishtukizwa. usualy kwa maadui wengine wanakuwa wameshajipanga.
Hata mbishe za majambazi wanakuwa na taarifa wameshajipanga.
Na kama wangekuwa wameshajipanga, hamnza asingetoboa hatua kumi.
Atachemshwa supusiku moja ili vikuelewe vizingue,ukikakuta kamoja kamezubaa katie kofi au katishie kukapora silaha.
kitakachotikea usisite kutujuza hapa.
Na wewe wapore hizo sirahaMi nadhani hivi vipolisi vya sasahivi pia havina nidhamu. Mara kadhaa unavikuta vimeshika silaha mikononi viko lindo lakini havina tahadhari yoyote.
Muda mwingi vinachati na simunkulikonumakininwa kazi. Ningenshauri Siro azuie polisi kuchati akiwa kazini. Hii inawezekana kuwapatia device za mawasiliano zisizoruhusu mtu kuchati.
Hiki kizazi cha polisi wa miaka ya 1985 kuja mpaka juu huku 90 hamna kitu. Maarifa na umakini mdogo sana.
Atachemshwa supu