Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?

Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?

Ni mwanaume naoa siolewi.

Ukitaka faida anazopta mwanamke kwenye ndoa naweza kukujazia lundo la faida kabla wakati wa ndoa na baada ya ndoa.

Kabla ya ndoa(wakati wa kuanza biashara)mwanaume anampa mwanamke mahari(mtaji) wa kufanyia biashara hiyo ni faida ya kwanza kwa mwanamke.

Je unataka niendelee au niache?
Mahari nayo ni mtaji??
 
Kimsingi hujajibu swali

Kwa hiyo kama huna majibu ya moja kwa moja unaweza kuacha
Jifunze kwanza kuuliza swali sahihi kwa mtu sahihi.

Huwezi kumuuliza swali mwanaume faida za kuolewa wakati mwanaume haolewi bali anaoa.

Unatarajia upewe jibu la namna gani?
 
Jifunze kwanza kuuliza swali sahihi kwa mtu sahihi.

Huwezi kumuuliza swali mwanaume faida za kuolewa wakati mwanaume haolewi bali anaoa.

Unatarajia upewe jibu la namna gani?
Umebandika wapi utambulisho wako kama we ni mwanaume??
 
Mahari nayo ni mtaji??
Yeah.

Ni mtaji tena mtaji mkubwa sana.

Kama huyo dada anataka kuanza biashara kwa mtaji wa laki 3 vipi mimi nkitaka kunuoa na kumpa mahari milioni tano ambazo kisheria ni pesa zake uoni kwamba huo ni mtaji?

Anaweza kuanzishia biashara yoyote na kisheria ikawa ni yake na hata mkiachana bado hiyo biashara itabaki kuwa yake.
 
Mkuu wewe umewaza biashara gani hizo unazoona mtaji ni mkubwa kuliko ulichonacho?

Huwenda mtaj wako unatosha ila wewe umewaza kuanza na uwe kama fulani unaemuona tayari ana mtaji mkubwa ukidhani alianza kwa mtaji huo, kumbe labda nae alianza kujijenga kama wewe utakavyo.
 
Jifunze kwanza kuuliza swali sahihi kwa mtu sahihi.

Huwezi kumuuliza swali mwanaume faida za kuolewa wakati mwanaume haolewi bali anaoa.

Unatarajia upewe jibu la namna gani?

Ni biashara.

Tena yenye faida mno kwa wanawake.

Kama ulikuwa hujui anza kutambua ilo sasa.


Shida hapa umejibu kifua mbele sana
As if umeshawahi kuolewa na ukaona faida zake

Wewe kubali tu huna hoja
 
Yeah.

Ni mtaji tena mtaji mkubwa sana.

Kama huyo dada anataka kuanza biashara kwa mtaji wa laki 3 vipi mimi nkitaka kunuoa na kumpa mahari milioni tano ambazo kisheria ni pesa zake uoni kwamba huo ni mtaji?

Anaweza kuanzishia biashara yoyote na kisheria ikawa ni yake na hata mkiachana bado hiyo biashara itabaki kuwa yake.
[emoji23][emoji23][emoji23],hiyo mahari mnayotoa kwa manung'uniko na tena mnatoa nusu,
 
Habari Za sahivi wanajamii wenzangu. Mimi ni msichana nina miaka 29. Natamni Sana kujiajiri Kwa sababu kazi zimekuwa ngumu Sana, nimetafuta mpaka nimechoka sasa nimeuza simu yangu Na radio yangu nimejikuta mkononi nina laki 3 Tu...
Una skills gani nje na taaluma yako ?
 
Kwa dsm kwa mtaji wako huo wa laki 3 anza na biashara ya kuuza matunda sio ule wa kutembeza kwenye beseni ule una una vishawishi vingi toka kwa sisi wanaume unaweza kukutoa kwenye mstari

1)Tafuta location ya barabarani ambayo utaweza kufanya biashara yako...hakuna malipo wala kodi ila wengine hujifanya wanakuuzia nafasi...huwenda akahitaji 20k au 30k itaegemea

2)Tengeneza meza yako ya mbao ambayo kwa bajet yako isiwe kubwa sana maana utakua na kazi kuibeba muda unaoenda kwenye kazi yako na muda wa kurudi...hapa bajet yako isizidi 30k ya hiyo meza

3)Nunua mwamvuli ile mikubwa maana kipindi hiki mvua za hapa na pale hazikosekani bajet yake isizidi 50k

4)Nunua kiti cha kukalia uwapo kazini kwako bajet yako 20k

5) Nenda sokoni nunua mzigo wako wa Matunda...Masoko yenye bei za kutupa ni Buguruni,Ilala,Tandika,Mbagala itategemea na ww ulipo rahisi unaweza fika wapi

6)Matunda ya kuanza nayo Ndizi hizi utachukua nyingi maana zinalika sana kwa dsm,Tikiti maji,Machungwa,Parachichi, vingine utaanza kuongeza kwa kadri utakavyoona...kwa kuanzia matunda yote hayo bajet yako isizidi 50k

Pesa itakayobaki iweke sehemu salama wakati unaangalia ulichoanza nacho
 
Kwa dsm kwa mtaji wako huo wa laki 3 anza na biashara ya kuuza matunda sio ule wa kutembeza kwenye beseni ule una una vishawishi vingi toka kwa sisi wanaume unaweza kukutoa kwenye mstari

1)Tafuta location ya barabarani ambayo utaweza kufanya biashara yako.....
Achukue huu ushauri nadhani utamfaa
 
Back
Top Bottom