Sasa kuuza chupi sio biashara?Mshaurini mwenzenu acheni mambo ya kiwaki kudadeki zenu.
Anafungua anakuta comment kibao zote ni upuuzi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuuza chupi sio biashara?Mshaurini mwenzenu acheni mambo ya kiwaki kudadeki zenu.
Anafungua anakuta comment kibao zote ni upuuzi tu.
Habari Za sahivi wanajamii wenzangu. Mimi ni msichana nina miaka 29. Natamni Sana kujiajiri Kwa sababu kazi zimekuwa ngumu Sana, nimetafuta mpaka nimechoka sasa nimeuza simu yangu Na radio yangu nimejikuta mkononi nina laki 3 Tu...
Anzisha page ya udalali.... unaweza anzia watsap status....watu wanaouza vitu unavi post unaweka na bei yako...Habari Za sahivi wanajamii wenzangu. Mimi ni msichana nina miaka 29. Natamni Sana kujiajiri Kwa sababu kazi zimekuwa ngumu Sana, nimetafuta mpaka nimechoka sasa nimeuza simu yangu Na radio yangu nimejikuta mkononi nina laki 3 Tu...
Weeeee mawardat kafikaje hapo??Kuwa serious na maisha ya wengine, ujinga wenu na mawardat pelekeni huko huko.,
Umeulizwa wewe?Sasa ndio upuuzi gani huu
Nakutafuta kichizi nikuombe mtaji,come.Hali gani tena wewe mrembo? Unaona mwenzio alivyo serious kutomboa maisha...kauza hadi simu sio wee kazi kujiselfie tako skonsi
Ngoja tuzione hizo FaidaTupe faida ulivyoolewa umepata nini na nini?
Mshaurini mwenzenu acheni mambo ya kiwaki kudadeki zenu.
Anafungua anakuta comment kibao zote ni upuuzi tu.
Mimi ni mwanaume naoa.Umebandika wapi utambulisho wako kama we ni mwanaume??
Kwamba huelewi ndoa ni faida kwa mwanamke au unafanya makusudi tu?Kumbe,faida inakujaje??
Ni kweli kabisaKwa hii idea yko bila shaka Marinda huna, wahuni washakukonyoa Kwa tamaa zako.
Faida ya pesa au faida inakuwaje??Kwamba huelewi ndoa ni faida kwa mwanamke au unafanya makusudi tu?
Sio pesa tu.Faida ya pesa au faida inakuwaje??