Kwanza Hongera kwakuchukua Hatua kwaajili ya kesho yako",
Pili Hakuna mtaji mdogo,Ila ulicholenga kufungua ndo kinaweza kikubwa kuliko mtaji ulionao",
Cha kwanza kubariana na hali halisi,usilenge vitu vikubwa kwasasa anza kidogo kidogo.
pili na nakushauri usiwaze frame tafuta saiti ya kukodi maeneo yaliochangamka mkubaliane na mwenye eneo kias cha kumlipa kama ni 10000 au 15000 kwa mwezi kisha tengeneza banda lako la mbao na mabati",
Nenda mjini nunua mitumba kwa bei ya jumla mitumba 70000 si haba kuanzia,Nunua yebo na ndala hazina bei sana ni kuanzia 2000 mpk 7000 kwa bei ya jumla kutokana na zilivyo,pia nunua vitu vya urembo kama heleni,cheni,saa havina bei sana afu nenda kafungue banda lako",
Naamin hutokosa chochote kwasiku kila lakheri kwako".