Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwani wachaga wanazo nyimbo za eid? Ukipata kwa kichaga na kwa kisukuma utapata πKwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam.
Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa.
Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa ajili ya Eid El Fitri atuwekee tusikilize wasukuma nao wanavyomtukuza ALLAH.
Usinikatishe tamaa aisee... Naamini bhangosha Lazima Wana Wimbo wao...Hata ukiwa msukuma lazima usali kiarabu shida ndio inaanzia hapa
Upunguze bhangi za kusokotewa raha ya bhangi usomote mwenyewe.Kwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam.
Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa.
Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa ajili ya Eid El Fitri atuwekee tusikilize wasukuma nao wanavyomtukuza ALLAH.
Usinivishe tabia ambayo Sina....Uzi huu lengo lake linajulikana, sijui huwa mnajisikiaje mkianza kutupiana na kudhihakiana kisa dini.
Ipo siku hali hii itatoka mitandaoni, na kuhamia mtaani. Mnatengeneza sumu mbaya saana bila kujua.
Kwa nini usitafute wa kihaya, kwa mfano? Hao wote wanatoka ile kanda ya ziwaπKwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam.
Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa.
Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa ajili ya Eid El Fitri atuwekee tusikilize wasukuma nao wanavyomtukuza ALLAH.
Sababu nimetoa... Halafu kwani naweza taja makabila yote zaidi ya 120 yaliyopo Tanzania??Kwa nini usitafute wa kihaya, kwa mfano? Hao wote wanatoka ile kanda ya ziwaπ
Taja tu, kwani kuna ubaya gani?π... Halafu kwani naweza taja makabila yote zaidi ya 120 yaliyopo Tanzania??
Hapana ni chaguo lake... Na wasukuma waislamu wapo...Ukiona msukuma mwislam, hilo ni pandikizi.
Mantiki yake ni nini Sasa... Kabila Moja limetosha kuishehenesha hoja.Taja tu, kwani kuna ubaya gani?π
Hoja yako imekaa kinafiki nafiki sanaπππMantiki yake ni nini Sasa... Kabila Moja limetosha kuishehenesha hoja.