Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Zamani hizo muda kama huu babu ameshaninunulia nguo za sikukuu kuanzia za kuendea kanisani Alhamis kuu mpaka za Easter Monday.
Sasa hivi naishia kutamani tu. Siwezi hata kuvaa nguo mpya kwenye sikukuu zaidi ya kumvalisha dogo.
Nimetamani kweli kweli ningekua mtoto ninunuliwe nguo mpya kwenye Pasaka [emoji26][emoji26] maana hata nikijinunulia hainogi kama kununuliwa na kale ka kafeeling ka kujua utavaa nguo mpya uslay kwenye sikukuu kalikua burudani sana.
Sasa hivi naishia kutamani tu. Siwezi hata kuvaa nguo mpya kwenye sikukuu zaidi ya kumvalisha dogo.
Nimetamani kweli kweli ningekua mtoto ninunuliwe nguo mpya kwenye Pasaka [emoji26][emoji26] maana hata nikijinunulia hainogi kama kununuliwa na kale ka kafeeling ka kujua utavaa nguo mpya uslay kwenye sikukuu kalikua burudani sana.