Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Yeye alikuwa anatumiwa hela 300k kesho yake. Huyo mtumaji alishindwa vp kumtumia hela kwa ajili ya kutengeneza card ?? Au labda kuna ajenda binafsi kati yako na wewe
 
Ulikosea Sana kufata mwanamke hostel kwake kumdai pesa yako.

Alichukulia ulikuja kwa Shari maana sio mahala mlikopeania pesa.

Nae akahamua kujihami kwa Shari zaidi.
 
Alitka usimdai hela umuombe chezo, mambo yaishe
 
Rudisha urafiki nae ikiwezekana mpatie Hela nyingine,ukiona kaingua mpeleke bar aleweeee then mpelekee moto Hadi buzaa huko,umafia umafia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…