Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Dawa ni kutoa pesa nusu unajenga ukuta kisha unasikilizia.Pia muuzaji ni lzm awe na dhahama ya nyumba Ili ikitokea tofauti tu unakamata DhamanaUTAPELI wa ardhi Mara nyingi huwa una mkono mrefu mpaka ardhi.
Unaweza kumtumia wakili ukapewa mpaka hati kutoka Ardhi lakini ukapige.