mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wengine kumuita wakili wanaona gharama.
Hawajui kuwa wakili ndo mtetezi wako hata ikitokea matatizo anayekwenda mahakamani kufuatilia kesi NI yule hakimu .
Wakati wewe unaendelea na Mambo yako
Hawajui kuwa wakili ndo mtetezi wako hata ikitokea matatizo anayekwenda mahakamani kufuatilia kesi NI yule hakimu .
Wakati wewe unaendelea na Mambo yako
Nakazia...
Hata Serikali za Mitaa siku hizi nao ni wale wale tu...
Wanachojali ni ile asilimia yao.. likikupata janga huko unapambana mwenyewe..