Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
True jini anakupa utajiri nawe unampa jini kafara ya damu.Mganga sio choka mbaya, na mganga hatoi utajiri mganga Ni Kama dalali anakuunganisha wewe (mteja) na majini (ndo wanatoa utajiri) mganga anahitaji pesa Kama malipo yake lakini majini hayahitaji pesa maana yanazo nyingi tuu!yenyewe yatahitaji ufate masharti ambayo utaelekezwa na mganga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Damu ni chakula cha majini.
Waganga na wachawi ni matajiri Sana wa pesa lakini masharti yao hayawaruhusu kumiliki mali.Pesa zao wanazitumia kununua vifaa vyao vya Kazi