Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Daaah, Kumbe kweli humu wana Kulanaa??
Aje Mdada Mmoja basi PM tuya Jengeee
 
Wee huna akili,MTU mmejuana mtandaoni,haja kupeleka kwao,wala ndugu zake huwajui labda...then unagawa mbususuu pekupeku bila kinga...
Mkuu unamsimanga mwenzako kwenye matatizo sio poa,wanaume huwa wanakuwa na nguvu kubwa Sana ya kushawishi chochote kwa mwanamke....usitoe kauli Tata.
 
Nachofaham huyu mtu alishasaidika muda sana

Alipata mtu humu humu na akampa mchongo wa kazi na anapiga kazi
Ushuhuda alitoa
 
Wee huna akili,MTU mmejuana mtandaoni,haja kupeleka kwao,wala ndugu zake huwajui labda...then unagawa mbususuu pekupeku bila kinga...
Ila kwer saiv mmbo raisi pesa. Mbele iyo Kinga atakumbuka sangapi
 


Tulishatoa onyo kuhusu wanaume wa humu ndani, ila wewe ni Dada yetu hatuwezi kukutupa na uncle wetu mtarajiwa.

Ombi:

Muweke wazi huyo barazuli humu.
 
Wee huna akili,MTU mmejuana mtandaoni,haja kupeleka kwao,wala ndugu zake huwajui labda...then unagawa mbususuu pekupeku bila kinga...
Rafiki hii mada ilishamalizwa. Kazi nilishapata maana lengo hasa ilikuwa ni kupata kazi. nilishajifungua tayari na nikimaliza uzazi naendelea na kazi. Alishapatikana mtu mwema huku akani connect na kazi. Kwa hiyo haya maneno ya karaha jitahidi uyahifadhi moyoni mwako. Matatizo yameumbwa kwa wanadamu lisipokukuta kama langu basi linaweza kukuta lingine japo sikuombei. Mungu akutunze na akusaidie sana ili majanga yapite mbali nawe
 
Ila hilo jina unalotumia nilamikakati sana
 
Na mtoto umempa jina gani? Nawaza tu
 
Na mtoto umempa jina gani? Nawaza tu
Kuhusu jina karibu nyumbani. Tule mtori wa uzazi kisha jina utalijua ukifika huku kwetu rafiki. Usiwaze sana njoo pm nikuelekeze uje umuone anko wetu mpya wa JF aliyezaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…