Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi



Asante kwa unabii wako. Kila mtu hapa ana uhuru wa kutabiri jinsi anavyoona ni vyema moyoni mwake.
 
1. Nashindwa kukupa pole kwani matokeo ni makubaliano yenu.

2. Naogopa kusema zaidi, umesema tujihadhari na watu wa humu lkn bado unataka watu wa humu wakusaidie.
3. Joannah tunawezaje kumsaidia huyu mtu na tufanye kama kwa Bwana?
 
Umemkomalia sana mkuu.
Kuna wengi wenu huwa mnakimbia mimba...bora umkatae mwanamke kuliko kuzikana mbegu zako
 
1. Nashindwa kukupa pole kwani matokeo ni makubaliano yenu.

2. Naogopa kusema zaidi, umesema tujihadhari na watu wa humu lkn bado unataka watu wa humu wakusaidie.
3. Joannah tunawezaje kumsaidia huyu mtu na tufanye kama kwa Bwana?
Sijaelewa vizuri maana maelezo yake yanagongana.
Huyo mchumba wake ni mjeifu au ?maana naona Kuna ukakasi kidogo
 
No walianza urafiki tu na kupeana utamu.
Dada kaachia mbuzi kala shamba
🤣🤣🤣Shamba la bwana heri,mbuzi wa bwana heri..

Angemtaja kwanza tumsomee risala la kuikimbia damu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…