Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
AhahahaUnajitafutia matatizo, Kuna jamaa juzi kaenda polisi kuzuia mazishi ya mtoto wa kumlea asizikwe kwa Imani ya kiislamu.
Ilikuwa mwamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahahaUnajitafutia matatizo, Kuna jamaa juzi kaenda polisi kuzuia mazishi ya mtoto wa kumlea asizikwe kwa Imani ya kiislamu.
Umefika chuo?Watu wa Mungu mpoo?
Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.
Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu sijui niseme nzuri au mbaya ila Mungu ndio anajua, nikapata mwanaume ambaye tulianza mahusiano ambayo yalikuwa siriazi kidogo.
Baada ya muda tukapanga mipango ya kuanza mikakati ya kufunga ndoa. Na wakati huo huo ujauzito ukawa umeingia kwangu. Sasa tangu nilipomwambia yule mwanaume kuwa nina ujauzito aliniblock simu na namba zote mawasiliano hakuna. Hadi leo amenitelekezea ujauzito. Alichoniambia mara ya mwisho kabla hajanikimbia ni "wewe ulivyobeba ujauzito si ulijua unabeba ujauzito na sina pesa za kukutunza" kwa maana hiyo nipambane na hali yangu mwenyewe.
Kiukweli maisha kwangu yamekuwa magumu maana ujauzito umefikisha miezi saba na siwezi kufanya kazi nilokuwa nafanya hapo mwanzo. Daktari alinisahuri niachane nayo maana ni kazi ya kusimama zaidi ya masaa saba endapo nitapata wateja mfululizo.
Me nimeleta hili janga lilonipata ili tuendelee kuwa makini humu. Tusikurupukie watu sio wote ni wazuri kama tunavyodhani
Pia nimekuja kuomba kwa yeyote anayeweza kuniajiri kwa kazi yoyote ambayo sio ya kusimama muda mrefu kwa muda wa miezi hii mitatu ya mwishoni nina uhitaji wa kazi ili walao nipate pesa kwa ajili ya kujifungua maana sina msaada wowote wa kifedha wala vifaa vya kujifungulia. Sina matatizo yoyote ya afya hadi sasa yatakayonifanya nishindwe kuhuduria kwenye kazi hiyo nitakayoipata.
Kwa vigezo mimi ni mhitimu wa elimu ya kidato cha sita najua lugha ya kiswahili na kiingereza pia ninajua kutumia komputa vizuri. Naahidi kwamba atakaeniajiri hatajuta licha ya kuwa mimi ni mjamzito.
Mungu awabariki sana.
Una umri gani?Asante.
💯💯Kufuatia uandishi wako...!
1.Wewe ni mtu mzima mwenye umri kati ya 35-40
2.Uliingia kwenye mahusiano na mume wa mtu
3.Ulikuwa una tafuta mume Kwa mhemuko wa kuzaa
4.Hakuna mimba ya bahati mbaya kwenye umri wako ,ulikuwa unajua unacho kufanya
5.Mwanaume alikuwa ana stress zake na hustling zake za maisha hakuwa serious
Una uhakika??Kila lenye kheri Miss Natafuta
Hatufai aseee, 😃😃😃 sipati picha huo mtifuano.Wanaume wa jf na andazi Bora andazi 😀😀😀
Ni noma sana ukute mwenye mzigo wje yupo hapa na anachangia Kwa maneno makali 😅😅Hatufai aseee, 😃😃😃 sipati picha huo mtifuano.
Na akikaa vibaya ataliwa kimasihara na kuachwa kama condom.
Mumgu amsimamie kama haya ni ya kweli...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆Ni noma sana ukute mwenye mzigo wje yupo hapa na anachangia Kwa maneno makali 😅😅
Mtu aliefikisha miak 18 kuliwa anaamua mwenyew Kwa hiyar yake na mapenz tele 😀😀ila kuchukua tahadhari ndio muhimu sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆
Sijui kwann nacheka kaa fala 😅😅😅😅
Asee vidume tumekuwa mbwa kweli.
Tunataka kimasihara tu, walai kuweni makini nyie watu fungeni pm hizo.
Msije mkanasishwa vibaya.
😀😀😀No walianza urafiki tu na kupeana utamu.
Dada kaachia mbuzi kala shamba
Makosa ya kibinadamu hayoHii thread nashangaa kwann inanifurahisha au ni sigara na bangi nilizovuta.
Unajua nacheka kweli hapa nilipo....
Duuh au ni usingizi 🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi mtu anawezaje kuwa mjinga kiasi hiki....
Aisee mi siamini kuna mwanamke anaweza kuwa mjinga kiasi hiki duuuh. Hapana banaUkute ni chai
Sijakuelewa wangu mimi sio huyo mtu.Wewe ndiye uliyeleta bandiko kuwa kuna rafiki yako anahitaji mtu, kumbe ni wewe. Ukawa na kiingereza kingiiiiii. You know za kutosha sana. Vumilia tu dada, that was your choise, stick to it.