🤣🤣🤣🤣🤣, hii scenario umeisoma vizuri lakini mkuu, ishu ni kuwa kapuku dont care. Yaani ambaye huna direction ya maisha.
Sasa kama mtu katelekeza mimba si obvious huyo hajielewi. Au hujui damu ya mtoto inaweza mtafuna mpaka anavyoingia kaburini....
Sijawahi ona ke mjinga kama mtoa mada...
Tatizo wabongo wengi ni wapumbavu kama sehemu zao za siri....
Mfano.
Hujawahi jiuliza kwann ma mbele ma single maza wanawezeshwa na serikali kupitia sheria kali za watoto kule hamna kukimbia mimba mkuuu. Ndo maana una shauriwa ufanye hata vasectomy ukienda huko..
Sasa huku wanakojolewa hovyo mpaka na wanywa gongo unategemea nn kama sio shida juu ya shida
Tena ukute chizi maarifa ndo aliyemtia mimba au genta aiseee.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Acha nicheke tu hii thread haijanigusa hata chembe na sijui kwann.