Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

🤣🤣🤣🤣🤣, hii scenario umeisoma vizuri lakini mkuu, ishu ni kuwa kapuku dont care. Yaani ambaye huna direction ya maisha.

Sasa kama mtu katelekeza mimba si obvious huyo hajielewi. Au hujui damu ya mtoto inaweza mtafuna mpaka anavyoingia kaburini....

Sijawahi ona ke mjinga kama mtoa mada...

Tatizo wabongo wengi ni wapumbavu kama sehemu zao za siri....

Mfano.
Hujawahi jiuliza kwann ma mbele ma single maza wanawezeshwa na serikali kupitia sheria kali za watoto kule hamna kukimbia mimba mkuuu. Ndo maana una shauriwa ufanye hata vasectomy ukienda huko..

Sasa huku wanakojolewa hovyo mpaka na wanywa gongo unategemea nn kama sio shida juu ya shida

Tena ukute chizi maarifa ndo aliyemtia mimba au genta aiseee.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Acha nicheke tu hii thread haijanigusa hata chembe na sijui kwann.
Ishu ni kupata mtu ambaye tayari atajitoa kulea. Sio wote waliozisha mademu wana hela ila tu ule utayari wa kupambana na malezi ndio muhimu.
 
Shida watu hawataki kuambiwa ukweli we unaona Mwanaume kula yake shida,Vaa yake ni mtihani,Lipa yake kodi mpaka atishiwe notisii bado unaitegesha sindano huzioni au vidonge.
Inafikirisha sana tena nilitegemea wanawake wa kizazi hiki mchakarike kupunyua mi tajiri hela

Kuna vidada vina hongwa hela ya maana na mimba hawategeshi bado. Wanajijenga ki uchumi kwanza

Huyu mwenzetu sijui alidhani mimba ndo ingemfanya mwanaume amgande pole yake tu.....

Na inavyoonekana mtoa mada ni 30+ ana experience ya kutosha tu ipa ndo ivyo tena.....
 
Mna haki ila muwe na uwezo wa kulea sio baba jina😩
Hahahah ni kweli ila msitusimange makapuku wa jf bana kisa hatuna million 100 before 30 yrs 🤣🤣🤣! Tutalea tu kama baba zetu walivyotulea kibishi. Msitubague
 
Ishu ni kupata mtu ambaye tayari atajitoa kulea. Sio wote waliozisha mademu wana hela ila tu ule utayari wa kupambana na malezi ndio muhimu.
Kumbe umeelewa sasa mwanaume yeyote anayekimbia mimba naona huyo hana direction ya maisha....

Hawa wenzetu akili zao wanazijua tu wenyewe masingo maza napishana nao daily kwenye mi dala dala.

Najua wote hawajitakia ila 80% ni self choice....
 
Kumbe umeelewa sasa mwanaume yeyote anayekimbia mimba naona huyo hana direction ya maisha....

Hawa wenzetu akili zao wanazijua tu wenyewe masingo maza napishana nao daily kwenye mi dala dala.

Najua wote hawajitakia ila 80% ni self choice....
Hahahahahah sasa mtu alikupanga anakuoa utajuaje atakataa mimba hata kama ni wewe🤣🤣🤣
 
Hahahah ni kweli ila msitusimange makapuku wa jf bana kisa hatuna million 100 before 30 yrs 🤣🤣🤣! Tutalea tu kama baba zetu walivyotulea kibishi. Msitubague
Huwa naumia sana ukipita ubungo unakuta watoto wadogo ni ombaomba,wengine wamejiingiza katika madawa hii yote ni kuzaa bila mipango halafu siku hizi kuzaa ni fashioni eti😬
 
Huwa naumia sana ukipita ubungo unakuta watoto wadogo ni ombaomba,wengine wamejiingiza katika madawa hii yote ni kuzaa bila mipango halafu siku hizi kuzaa ni fashioni eti😬
Wale madogo ni project za watu. Mimi sikuhizi nawafungia vioo tu nikifika pale mataa. Japo huenda wapo ambao wametupwa na wazazi.
 
Pole Sana ,ushauri Mimba ya miezi Saba ni Bora ungefanya mpango wa Kupata hela Kama 1M ili ikusaidie for two months to come just easily .

Ukifanya Kazi ngumu inaweza kukuleta implication katika uzazi wako. Then naona ur very depressed na life jaribu kukaa upande wa kushukuru Mungu na sio kulaumu alikupa Mimba
Hio hela anapewa na nani🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣, hii scenario umeisoma vizuri lakini mkuu, ishu ni kuwa kapuku dont care. Yaani ambaye huna direction ya maisha.

Sasa kama mtu katelekeza mimba si obvious huyo hajielewi. Au hujui damu ya mtoto inaweza mtafuna mpaka anavyoingia kaburini....

Sijawahi ona ke mjinga kama mtoa mada...

Tatizo wabongo wengi ni wapumbavu kama sehemu zao za siri....

Mfano.
Hujawahi jiuliza kwann ma mbele ma single maza wanawezeshwa na serikali kupitia sheria kali za watoto kule hamna kukimbia mimba mkuuu. Ndo maana una shauriwa ufanye hata vasectomy ukienda huko..

Sasa huku wanakojolewa hovyo mpaka na wanywa gongo unategemea nn kama sio shida juu ya shida

Tena ukute chizi maarifa ndo aliyemtia mimba au genta aiseee.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Acha nicheke tu hii thread haijanigusa hata chembe na sijui kwann.
Sema unaonekana upo ki steka sana🤣
 
Watu wa Mungu mpoo?

Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.

Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu sijui niseme nzuri au mbaya ila Mungu ndio anajua, nikapata mwanaume ambaye tulianza mahusiano ambayo yalikuwa siriazi kidogo.

Baada ya muda tukapanga mipango ya kuanza mikakati ya kufunga ndoa. Na wakati huo huo ujauzito ukawa umeingia kwangu. Sasa tangu nilipomwambia yule mwanaume kuwa nina ujauzito aliniblock simu na namba zote mawasiliano hakuna. Hadi leo amenitelekezea ujauzito. Alichoniambia mara ya mwisho kabla hajanikimbia ni "wewe ulivyobeba ujauzito si ulijua unabeba ujauzito na sina pesa za kukutunza" kwa maana hiyo nipambane na hali yangu mwenyewe.

Kiukweli maisha kwangu yamekuwa magumu maana ujauzito umefikisha miezi saba na siwezi kufanya kazi nilokuwa nafanya hapo mwanzo. Daktari alinisahuri niachane nayo maana ni kazi ya kusimama zaidi ya masaa saba endapo nitapata wateja mfululizo.

Me nimeleta hili janga lilonipata ili tuendelee kuwa makini humu. Tusikurupukie watu sio wote ni wazuri kama tunavyodhani

Pia nimekuja kuomba kwa yeyote anayeweza kuniajiri kwa kazi yoyote ambayo sio ya kusimama muda mrefu kwa muda wa miezi hii mitatu ya mwishoni nina uhitaji wa kazi ili walao nipate pesa kwa ajili ya kujifungua maana sina msaada wowote wa kifedha wala vifaa vya kujifungulia. Sina matatizo yoyote ya afya hadi sasa yatakayonifanya nishindwe kuhuduria kwenye kazi hiyo nitakayoipata.

Kwa vigezo mimi ni mhitimu wa elimu ya kidato cha sita najua lugha ya kiswahili na kiingereza pia ninajua kutumia komputa vizuri. Naahidi kwamba atakaeniajiri hatajuta licha ya kuwa mimi ni mjamzito.

Mungu awabariki sana.
Naomba namba yako inbox
 
Sio sijanogewa mimi nimekaa kwenye uchumba miaka 4 nilikuwa nacheza na sindano tu hadi jamaa akasema naweza kuwa mgumba ila alivyo nioa tu kitu kikaitika mwisho akaanza lawama kumbe ulikuwa unanifanyia umafia usishike mimba😬😁😁😁
Hahahah we kweli mafia aisee. Kumbe uliweka full beki kitu hakinasi🤣🤣🤣 sema ndio akili hizo. Usikubali kuwa fara!!!
 
Hiyo Khali mnawo wasichana wengi tu mkishapelekwa kwenye Lodge za elfu ishirin mnaona maisha rahisi mnajibebesha mimba huku hujui hata mtu anaish wapi!
 
Back
Top Bottom