Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Niliweka behewa la timu 20 direct win ,ilikuwa inatoa milion 14 kwa stake ya 500, Fc basel akachana aisee. Sitosahau.
Hongera kaka,
Style yako ya stake kubwa imekulipa, kuliko kuweka behewa then anakuja mmoja anazingua.

Pili hii option ya magoli mengi 2nd half kumbe iko njema eee?
 
Well said mkuu!!aluta continua!!!!!
 
hapo kwenye odd ya ushindi fafanua kidogo
 
u
ukiwa hujui kitu haimaanishi icho kitu hakiwezekani...its matter of how far your mind can go into that bussiness....unaogopa stake iyo.m?ukiona stake za kina wilson perumal si utaandamana wewe
 
Hivi mbona kama unaleta stori za ma-inspirational speaker!, maana najaribu kuipata logic kwenye haya mabandiko yako mawili najikuta naiona 'hate na jelous tu'!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…