Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

you repeat..??wew ni nani.?? ukisema wew kitu ndo kinakua hakiwezekanii.!??oooh my balls ..you are the cause of trump' trash words to africa homie..with yo narrow mind dude....unamjua bill walters wew..wilson perumal....dan tan or uncle raj...unajua kwanin dk leakey aliajiriwa premier bet..!!? kama hujui kaa kimyaaaa...acha watu na kaz zao...eti fibbonach..ujinga wa forex usiulete hapa
 
Mkuu tupo pamoja mm nimeanza kubet tangu 2013, nimetoka tz nipo huku Europe nabet kupitia bet365, betway
Nakulaga ma euro tu Ila kuliwa Siku zingine kawaida
Bongo huwa nilikuwa natumia premier BET Ile ya kubetia kwenye mashine unapata tickets za karatasi baadae ukila unaenda ofis Zao Ku withdraw
Bet Ni nzuri ukiwa na malengo
 
Mnatuharibia vijana hawataki kazi, wamebakia kubet!!
Kwa mujibu wa akili zako ndogo utaona hivyo kubet Ni kaz Kama kaz zingine
Nipo ulaya huku watu wanabet na wanalipa Kodi Tena kubwa Sana,wewe endelea kukariri kuwa kazi Ni kulima mahindi kwa mbolea ya. Tsh 60000 mfuko alafu unauza debe 5000,watu Wana plan hawana akili mgando
 
h
mkuu hajielewii huyoo ..yani kwa mentality yake hata nikikuta kakabwa na chatu mi nashangilia chatu aendelee kumkaba tu
Hajui kinachozungumzwa hapa, kadandia treni kwa mbele. Kurudisha mtaji wa betting mathematically ni siku Moja au mkeka mmoja tu kama mkeka wako una odds kuanzia 2 na kuendelea. Sasa sijui hiyo anayoisemea yeye anapata Wapi.

Labda Kama anabet odds 1.01 kila mkeka ndio unaweza ukapoteza mtaji uliokusanya mwezi mzima kwa loose ya mara moja tu
 
Mkuu don't waste your breathe kwa huyu jamaa, wabongo bana wajuaji sana ila practically hewa, muache ye akalime mahindi, watu wanataka no-risks investments hawajui kua hakuna kitu kama hicho!! On the other side, hata kulima ni betting tu, kuna faida au hasara!
 
mkuu acha wivu jaribu uone watu wanakuja na alogarithm zao na wana beat the system nothing is perfect ndo maaana hakuna system ni unpenetrateble ukitumia the same level of thinking iliotumika kucreate hiyo system you will never get out of the box mkuu think
 
sure
sure mkuu...unasoma hupati ajira m.umebet...umelima kuna kupata na kukosa..uko ni kubet..umetembea na manzi..kupata ukimwi au uspate iyo nayo ni kubet...sasa koote uko inategemeana na measures ili kuweza kupunguza loss katka bet...mkuu kazi iendeleew
 
Kampuni zote kubwa kama skybet, bet365, Ladbrokes wana kitu kinaitwa 'betting limit' hii ni kutokana na kwamba wana accept big stakes, mtu anaweza wager paundi laki 5 per bet, sasa hawa majamaa wakiona mtu anawala sana wanampa limit ya kubet kwenye account yake,,Mara nyingi utakuta huwezi kubeti zaidi ya £5 per bet, hii ni sawa na kumfukuza tu

Kuna watu wengi wamewapiga sana hawa majamaa wakawekewa vikwazo ili waache kubet, maana hizi kampuni zinapenda loosers peke yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…