Pole Sana Mkuu,Niliweka behewa la timu 20 direct win ,ilikuwa inatoa milion 14 kwa stake ya 500, Fc basel akachana aisee. Sitosahau.
Hizo ni za muda. Keshakuwa Na uraibu Huyo . hata akijenga nyumba ataiuza tu!! Tumeoma.wengi kama Yeye!!.[emoji3][emoji3][emoji3]umeona stake za jamaa lakini!!!!
asanteee fundi .kueka jero kutegemea laki ni ushubwada...weka laki pata laki na nusuMtu ukiweka lakn upate 50 Ni chapu lakn ukiweka jero upate lakn maisha yako utakuwa unaisikia tu hyo lakn
AbominationHizo ni za muda. Keshakuwa Na uraibu Huyo . hata akijenga nyumba ataiuza tu!! Tumeoma.wengi kama Yeye!!.
you repeat..??wew ni nani.?? ukisema wew kitu ndo kinakua hakiwezekanii.!??oooh my balls ..you are the cause of trump' trash words to africa homie..with yo narrow mind dude....unamjua bill walters wew..wilson perumal....dan tan or uncle raj...unajua kwanin dk leakey aliajiriwa premier bet..!!? kama hujui kaa kimyaaaa...acha watu na kaz zao...eti fibbonach..ujinga wa forex usiulete hapaMkuu I repeat no one makes long term money in any football system long term.., its mathematically impossible.., nishafanya research ya all so called systems iwe fixed betting au kutumia kina fibonacci, martingale, hadi kwenye in play backing and laying..., watu wanao make fortunes ni bookmakers na wanaouza system kwa watu juu ya betting.
huwezi ukasema unamake fortune hata ungekuwa una billion ishirini na unabet Timu kama Real Madrid au Man City au Barcelona zenye 95% za kushinda odds sababu ni ndogo hata ukishinda mara 19 ile ya 20 bahati mbaya ukishindwa ukipiga hesabu if you are lucky unaweza ukajikuta umeshinda 10% au umebreak even realistically utajikuta umeloose big time; na hapo kama una-bet Africa haujaweka kodi (Tax on Winning) kwahio hizo odds unazoziona after Tax hio 1.5 au 2.5 sio hio bali ni way less....Its not a business if anytime you can loose all of your cash niambie ni nani kazi yake ni betting na anaishi kwa hizo betting na sio kuuza vitabu, systems au Tips
Unabet wapSijawahi kubeti kwa mhindi
Siyo kwa betting mzeenipe mbinu mkuu, ulifanya aje hadi faida ikaongezeka. wenzako tunaliwa hadi kwa odd ya 1.03
mkuu hajielewii huyoo ..yani kwa mentality yake hata nikikuta kakabwa na chatu mi nashangilia chatu aendelee kumkaba tuHivi mbona kama unaleta stori za ma-inspirational speaker!, maana najaribu kuipata logic kwenye haya mabandiko yako mawili najikuta naiona 'hate na jelous tu'!
Kwa mujibu wa akili zako ndogo utaona hivyo kubet Ni kaz Kama kaz zingineMnatuharibia vijana hawataki kazi, wamebakia kubet!!
Wa premier bet?Umetumwa na mhindi
umfundishe kubet. au akufundshe kubetNitafute in box
Hajui kinachozungumzwa hapa, kadandia treni kwa mbele. Kurudisha mtaji wa betting mathematically ni siku Moja au mkeka mmoja tu kama mkeka wako una odds kuanzia 2 na kuendelea. Sasa sijui hiyo anayoisemea yeye anapata Wapi.h
mkuu hajielewii huyoo ..yani kwa mentality yake hata nikikuta kakabwa na chatu mi nashangilia chatu aendelee kumkaba tu
Mkuu don't waste your breathe kwa huyu jamaa, wabongo bana wajuaji sana ila practically hewa, muache ye akalime mahindi, watu wanataka no-risks investments hawajui kua hakuna kitu kama hicho!! On the other side, hata kulima ni betting tu, kuna faida au hasara!you repeat..??wew ni nani.?? ukisema wew kitu ndo kinakua hakiwezekanii.!??oooh my balls ..you are the cause of trump' trash words to africa homie..with yo narrow mind dude....unamjua bill walters wew..wilson perumal....dan tan or uncle raj...unajua kwanin dk leakey aliajiriwa premier bet..!!? kama hujui kaa kimyaaaa...acha watu na kaz zao...eti fibbonach..ujinga wa forex usiulete hapa
Hata mi nlikua najiulizaum
umfundishe kubet. au akufundshe kubet
mkuu acha wivu jaribu uone watu wanakuja na alogarithm zao na wana beat the system nothing is perfect ndo maaana hakuna system ni unpenetrateble ukitumia the same level of thinking iliotumika kucreate hiyo system you will never get out of the box mkuu thinkMkuu pole sana tena pole sana..., hapo nimefungua screen shot moja una wager mpaka 1.5m kwa wakati mmoja sasa with that amount of risk kwenye game moja na miezi minne una 10 times the amount ambayo sometimes unaweka in single bet kwakweli its a road to disaster...,
Kwa ushauri the house always win in the end hata kama leo ungepata millioni mia moja..., ukibet for a long time hio milioni mia moja itarudi kwao..., why ? Mathematically the Odds are against you..., labda ungekuwa unafanya Surebets kwenye different bookmakers ingawa nayo ni ngumu kupata good odds
Ushauri this is not business do it for leisure
sure mkuu...unasoma hupati ajira m.umebet...umelima kuna kupata na kukosa..uko ni kubet..umetembea na manzi..kupata ukimwi au uspate iyo nayo ni kubet...sasa koote uko inategemeana na measures ili kuweza kupunguza loss katka bet...mkuu kazi iendeleewMkuu don't waste your breathe kwa huyu jamaa, wabongo bana wajuaji sana ila practically hewa, muache ye akalime mahindi, watu wanataka no-risks investments hawajui kua hakuna kitu kama hicho!! On the other side, hata kulima ni betting tu, kuna faida au hasara!
Kampuni zote kubwa kama skybet, bet365, Ladbrokes wana kitu kinaitwa 'betting limit' hii ni kutokana na kwamba wana accept big stakes, mtu anaweza wager paundi laki 5 per bet, sasa hawa majamaa wakiona mtu anawala sana wanampa limit ya kubet kwenye account yake,,Mara nyingi utakuta huwezi kubeti zaidi ya £5 per bet, hii ni sawa na kumfukuza tumkuu acha wivu jaribu uone watu wanakuja na alogarithm zao na wana beat the system nothing is perfect ndo maaana hakuna system ni unpenetrateble ukitumia the same level of thinking iliotumika kucreate hiyo system you will never get out of the box mkuu think
Nimelipa kodiUmezalisha nini katika uchumi wa taifa?