Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

embu tudokeze huyo dr leakey alifanyaje mkuu maana kwenye betting nasikia wanamtaja taja
 
jinga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulishajiuliza kwanini hao watu wenye system badala ya kujifungia chumbani na kutengeneza pesa peke yao wanauza hizo system ?, pia kumbuka kama nilivyosema book makers wana employ one of the best minds in the game hata leo ukipa system ya ku-exploit the system in the long run wataiona na kuiziba hence long term haiwezekani.., the only thing ya kupata pesa is Sure Bets ambazo nazo zina problem zake kama ukitaka kujua takueleza

WHAT IS A SURE BET?
With this betting strategy the main focus is on the variable betting odds that vary from bookie to bookie. In this way you can benefit from the odds variation and place your bets safely and without a risk. To do so you have to react quickly because the odds may change every second.
The goal is that the revenue of every single outcome of your bets exceeds the over-all amount invested. The yield of sure bets is often very low but with a little bit of luck and patience you can surely enhance your betting account.
For placing sure bets it is essential to have accounts on various betting sites and act quickly (visit our sportsbook review section). Also the placed stake should be a little higher than usual to profit more from the (sometimes very) small odds variations.
 
yes
...yes homie..know where to enter snd where to quit in bussiness....mfano sasa kuna timu kubwa zishachukua ubingwa...kwahyo game zinaweza kuuzwa maana hamna cha kupoteza..kwahyo kama mimi mbishi nacheza magoli tu..no direct win or double chance...maana kutakua na suprise
 
Mkuu unaweza toa summary ya ushauri kwa mtoa mada kwa kutumia lugha fupi maana nina uelewa mkubwa sana wa mambo lakini nashindwa kukuelewa unamaanisha nini..

Unazungumzia trend ya depresion mpaka boom katika kubet ... sasa jamaa kaanzia resession mpk boom (500K - 15 M) kaamua atulie mpka mwezi wa 8 kisha wewe unajaribu kuzungumza nini maana unachojaribu kueleza kuwa ipo siku ataishiwa sasa ataishiwa vipi wakati kajiongeza mpk mwezi wa 8 .
 
yes
...yes homie..know where to enter snd where to quit in bussiness....mfano sasa kuna timu kubwa zishachukua ubingwa...kwahyo game zinaweza kuuzwa maana hamna cha kupoteza..kwahyo kama mimi mbishi nacheza magoli tu..no direct win or double chance...maana kutakua na suprise
 
hivi unajua probability ya kushinda mkeka ? Accumulators, hizi unajua kwamba bookmakers wanapenda mikeka kuliko single bets sababu ndio zinawapatia pesa... ? Its all in mathematics mkuu, unajua kila timu unayoongeza na uwezekano unapungua kiasi gani ? unajua loosers wangapi kwa wiki wanasema timu moja tu yaani timu moja ilinikosesha pesa ? Narudia bet kama leisure not a money making scheme.., kama unataka iwe money making tengeneza tips n.k. uwauzie watu
 
So what's your point? We both know kuna kula na kuliwa ndo maana ikaitwa odds!! Hata 1.00000001 bado haiwezi kua sure odds!! Unachoongea kila mtu anakijua lakini ndo tushaamua kutake risks tuone inakuaje, maana kwangu Mimi naona kama kilimo ni betting tu vile vile

Can we end here please!! Spare us your articles na ushauri, we have heard that repetitively!!
 
Ndo maana unaona kwenye stakes kubwa tunaweka timu moja au mbili, to minimize the risks! Sasa unategemea ntaweka milioni afu niweke timu kumi???
 
kwahio mwezi wa 8 ndio kutakuwa na ups and ups au anaweza kupoteza ikabaki 500K akaamua kuacha kabisa, okay hajapoteza financially what about emotionally and time wastage
 
Source za ifo zako ni zipi mkuu
 
Point sanaa mzeee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukicheza direct win now wafwaaa...
 
Mkuu hueleweki,
Iwe Single Match, iwe Mult Bet zote zaitwa mkeka, so hakuna namna wakapenda mkeka badala ya single match sababu nazo ni mkeka pia.

Pili multbets (mabehewa) ni kweli yanapunguza uwezekano wa kushinda ndio maana wengine huigawa into mikeka kadhaa badala ya mmoja mrefu.

Tatu Kuuza tips zenye una uhakika nazo wakashinde wengine kuna faida gani kuliko kubet mwenyewe Kama mtaji unao? Na kama unauza tips ambazo huna uhakika nazo nao ni utapeli ambao sio kila mtu anaweza mkuu
 
Kuwauzia watu tips ni Utapelii piaaa..
 
Hakuna TIPS ZA UHAKIKAAA...KUUZA TIPS NI UTAPELIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…