ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
- Thread starter
-
- #161
[emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13]Ivi mkuu huogopi kifo?? Mtu kakwambia anakuchukia, kakuwekea sumu, upupu bado umo tu daah. Kweli binadamu tumetofautiana sana yani mi nimkute mke analiwa na nimsamee iyo siwezi aisee, nitamdanganya kua nimemsamehe ila sitamuamini kamwe ko bora nimuache tu.
Kuua MTU siwez ila ninakaroho fulani HV kakutokujal kitu haya yote yametokana na malezi nilia kiufupi nimekulia mazingila ya kijasusi sana yasio jua maumivu nn nikupe mfano mdogo kt ya nilio pitia mlez wangu alimshika mwiz hom akamchoma kisu mbele yangu hapo nina miaka 9 tu na nikaona kawaida ni meng nimepitia yameni athir kwenye makuz yangu ndio maana huwa sijal chcht kinachohusu maumivuWewe upo Qatar hujuu yanayotokea huku, hata huwezi kuumia kwasababu huyaoni huyu nduguyo ameshuhudia kabisaa. Aisee huyu jamaa ana roho ngumu idd amin akasome, ivi mkuu ndenjii handsome huwezi kuua mtu kweli wewe??
Njoo pm nitakupanipe namba za mkeo nimpe majaribu
Nahisi hii ni chai tu kama chai zingine. Tena Inawezekana kabisa mleta mada akawa ni mmoja wa vile "vitoto" vinavyosubiria kuingia form5.Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae,
Watu tumebwa tofautUlioa ukiwa na miaka 19 na ukavumilia? Hii chai siwezi kuinywa.
Hatuhiji manguvu kuishi nawanawake hii hali amepitia jamaa naijua kisawasawa inataka moyo ila ukivuka hapo maisha burudaniAisee. Umemfuma na njemba ukaishia kulia tu, Pia alikuwekea Sumu na bado unaishi nae!.
Naona kama unatukosea adabu wanaume.
Mwanamke akishakuona una udhaifu kwenye kufanya maamuzi atakufanyia chochote kwakuwa anajua huna cha kumfanya.
Watasema chaiNikiwa free nitaiweka stori nzima
Huyo mwanamke alikushikia begi ya uhai?Haikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.
Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.
Asanten
Dah jombaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji125][emoji125]Nahisi hii ni chai tu kama chai zingine. Tena Inawezekana kabisa mleta mada akawa ni mmoja wa vile "vitoto" vinavyosubiria kuingia form5.
Mbona kama bado hujastuka iviNi stori ndefu kiufup mkewangu alikuwa akiendeshwa na mifumo fulani kwa lengo fulan hv ambapo nilikuja gundua baadae ndipo nikastuka
Yeye alikuwa na 18
Nimestuka kitambo saiv nademka [emoji126][emoji126][emoji126]Mbona kama bado hujastuka ivi
Umehakikisha ni wanao?Na ningeandika yote mbona ungesema hakuna watu wa aina hiyo labda mars baada ya kuwa [emoji478] ingekuwa collabo ya madrink yote
Cha kushukuru Nina watoto nae watatu na bado mbichi kama mtoto wa kidato na ukituona mm wanangu mbona utasema wadogo zangu
Niwakwangu Kabis mkuu kasoro mmoja tyuUmehakikisha ni wanao?
Wewe kiongoZ[emoji13][emoji13][emoji13][emoji42][emoji42][emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Sasa unamdanganya nani
Waganga wote hawa jomba mbona nisingekubal,[emoji26][emoji24] [emoji24][emoji24]umelogwa
Kweli umepitia mengi ndugu yangu anyway nashukuru nimechekaHaikuwa kazi rahisi kufika hii miaka,
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu maisha ya ndoa ni mazuri kama mnajitambua kuna vipindi vingi nimepitia.
Kama kutiliwa sumu kwenye chakula, kuwekewa maji upupu, kufungiwa ndani kwa siku 6, kumfuma akifanya ngono na njemba, lakini kidume bado ninae, nina mengi ya kusema ila nina kauvivu kakutyp.
Asanten