Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Asante sana mkuu kwa maneno yako mujarabu... mungu akubaliki pia
 


LENGO NI NINI? NI SAWA NA MTU ASEME AMEISHI MIAKA 9 BILA KULA MATUNDA? LENGO NI NINI? UNAUMWA? ETC? ULIKUWA UJAOA IMANI HAIRUHUSU? MANAA KAMA SI HIZI SABABU UTAKUWA UNAUGUA KICHAA!
 
Au ulipata VVU mkuu
Maana naskia ukivipata hamu ya tendo inaisha kabisa
 
Lipia tangazo
 
Ulikuwa unatumia mkono wa kuume
 
Wewe ni mwanachama addicted kabisa umepata cheo kikuu.. CHAPUTA tafadhali chukua fomu ugombee maan ushaa bobea
 
Hongera sana mkuu . Sasa kilichobaki ni kutafuta mwenza ufunge ndoa na sio kufikiria zinaa. Kwani umekaa mda mrefu bila kudhini sasa isije ikakukosti ukaangukia pabaya na kukwa Ngoma.
Ushauri: Oa.
Ntalifanyia kazi hilo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…