Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Kama unaishi ugaibuni hapo nitakubaliana nawe. Coz kule watu wengi wanakua biz na kazi, na upatikanaji wa Milupo shida kidogo.
hapana nipo tz
 
Ila punyeto kama kawa sio?
 

Nimepata jibu la hii thread yako mkuu;-

Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika
 
Umeona sasa? madhara ndio haya unatamani kubebeshwa mimba!

Na sidhani kama marinda yako yatakuwa mazima
 
nimefanya ngono kwa mara ya kwanza nikiwa na miaka 25, ilifika mahali naweza cmamisha cku nzima, kwenye daladala na ule mbanano ukiguswa na wowowooo la mdada una kuta umesha jichafua, kuna wakati akili inakua kama ime stack hivi hasa ikitokea umeona maumbilea ya mdada{uchi}, na hapo siku moja moja tulikua tuna stua puchu maisha bila ngono kabisa ni magumu ila maisha ya bila ngono bila nyeto mpaka ndoa n sawa na haiezekan japo inawezekana. inahtaj iman kubwa sana na malengo. ua nawa zoom tu wanao ubiri usifanye ngono kabla ya ndoa bila kutupa technic zao walizo tumia cjui n kweli wao waliweza?
 
Kuna uzi nimeona unasema kwamba unatamani kupata mimba [emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…