Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Nina mdogo wangu ana miaka 28 sa hv, tangu azaliwe hajawahi kusex huyu ni BIKRA, Ana msichana wake akija huwa anamuacha chumbani ye anaenda ofisini, na mimi nikamwambia, "baki hivyo hivyo usije kujaribu, maana ukijaribu tu hutaweza kuacha"

Yaani anaweza kukaa nae chumbani kutwa nzima na asimfanye kitu,kinachosaidia wote wawili ni Bikra maana wa kwanza alikuwa akimshawishi wasex ye akaona hamfai akapiga chini, huyu wa sasa naona wanaendana.

ILA NINGEKUWA MIMI KUANZIA HUYO WA KWANZA MPAKA HUYU WA SASA SA HIVI NINGEKUWA NA WATOTO, MAANA KAKA ZAKE WOTE TUNAWATOTO WA NJE (MUNGU TUSAMEHE)
 
Kama unaishi ugaibuni hapo nitakubaliana nawe. Coz kule watu wengi wanakua biz na kazi, na upatikanaji wa Milupo shida kidogo.
 
Kibongo bongo haiwezekani... Labda uwe mtumiaji wa Bangi kwa saaana, ao Madawa.
 
unasema mwez wa 8 unapga papuch? hesabu ya mungu 10-1=0 mana yake ukifanya mazur kumi na ukafanya moja baya umefuta yote mema , kama unataka kutii amri za mungu endelea mpaka uoe,
 
Mie nina miaka tisa juu ya kitumbua natafuna tu,na nasemaje sishuki kitumbuani ng'oo!
 
Nina mdogo wangu ana miaka 28 sa hv, tangu azaliwe hajawahi kusex huyu ni BIKRA, Ana msichana wake akija huwa anamuacha chumbani ye anaenda ofisini, na mimi nikamwambia, "baki hivyo hivyo usije kujaribu, maana ukijaribu tu hutaweza kuacha"

Yaani anaweza kukaa nae chumbani kutwa nzima na asimfanye kitu,kinachosaidia wote wawili ni Bikra maana wa kwanza alikuwa akimshawishi wasex ye akaona hamfai akapiga chini, huyu wa sasa naona wanaendana.

ILA NINGEKUWA MIMI KUANZIA HUYO WA KWANZA MPAKA HUYU WA SASA SA HIVI NINGEKUWA NA WATOTO, MAANA KAKA ZAKE WOTE TUNAWATOTO WA NJE (MUNGU TUSAMEHE)

Hapa duniani kila kitu kinapatikana
 
Nina mdogo wangu ana miaka 28 sa hv, tangu azaliwe hajawahi kusex huyu ni BIKRA, Ana msichana wake akija huwa anamuacha chumbani ye anaenda ofisini, na mimi nikamwambia, "baki hivyo hivyo usije kujaribu, maana ukijaribu tu hutaweza kuacha"

Yaani anaweza kukaa nae chumbani kutwa nzima na asimfanye kitu,kinachosaidia wote wawili ni Bikra maana wa kwanza alikuwa akimshawishi wasex ye akaona hamfai akapiga chini, huyu wa sasa naona wanaendana.

ILA NINGEKUWA MIMI KUANZIA HUYO WA KWANZA MPAKA HUYU WA SASA SA HIVI NINGEKUWA NA WATOTO, MAANA KAKA ZAKE WOTE TUNAWATOTO WA NJE (MUNGU TUSAMEHE)
28 kweli basi hongera yake
 
Back
Top Bottom