Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jibu hili inawezekana wewe ni gayMmh!!! ww
Wakati kila kona kuna malayaKibongo bongo haiwezekani... Labda uwe mtumiaji wa Bangi kwa saaana, ao Madawa.
Hehee.. Mkuu sikutishiUsinitishe ww
Nina mdogo wangu ana miaka 28 sa hv, tangu azaliwe hajawahi kusex huyu ni BIKRA, Ana msichana wake akija huwa anamuacha chumbani ye anaenda ofisini, na mimi nikamwambia, "baki hivyo hivyo usije kujaribu, maana ukijaribu tu hutaweza kuacha"
Yaani anaweza kukaa nae chumbani kutwa nzima na asimfanye kitu,kinachosaidia wote wawili ni Bikra maana wa kwanza alikuwa akimshawishi wasex ye akaona hamfai akapiga chini, huyu wa sasa naona wanaendana.
ILA NINGEKUWA MIMI KUANZIA HUYO WA KWANZA MPAKA HUYU WA SASA SA HIVI NINGEKUWA NA WATOTO, MAANA KAKA ZAKE WOTE TUNAWATOTO WA NJE (MUNGU TUSAMEHE)
28 kweli basi hongera yakeNina mdogo wangu ana miaka 28 sa hv, tangu azaliwe hajawahi kusex huyu ni BIKRA, Ana msichana wake akija huwa anamuacha chumbani ye anaenda ofisini, na mimi nikamwambia, "baki hivyo hivyo usije kujaribu, maana ukijaribu tu hutaweza kuacha"
Yaani anaweza kukaa nae chumbani kutwa nzima na asimfanye kitu,kinachosaidia wote wawili ni Bikra maana wa kwanza alikuwa akimshawishi wasex ye akaona hamfai akapiga chini, huyu wa sasa naona wanaendana.
ILA NINGEKUWA MIMI KUANZIA HUYO WA KWANZA MPAKA HUYU WA SASA SA HIVI NINGEKUWA NA WATOTO, MAANA KAKA ZAKE WOTE TUNAWATOTO WA NJE (MUNGU TUSAMEHE)