Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

kama kuna makosa upo hulu kukosoa na kurekebisha
 
Hongera kwa kuongeza idadi ya mashoga ktk jiji la Bashite
 
Mm 17 na niko freshii...Hii inatoka na makusudi ya Mungu kumshirikisha ktk hili.
 
Arggh
 
Mleta Mada kwanza Hongera Kwa kumtii Mungu!
Pili nakuuliza huo mwezi wa 8 unatarajia kuoa au kula papuchi kienyeji yaani Kwa kufanya zinaa?
Comments zingine zitafuata baada ya Jibu [emoji1312]
nataka nile papuchi kienyeji tu
 
Sababu nahisi ndo demu wako wa miaka yote hiyo 9.
 
Hakuna aliye wahi kujizuia kutofanya mapenzi kama mimi maana nanzingira niliyolelewa ni yadini sana jumlisha ma maonyo mengi. Tangu nazaliwa mpaka nakimbilia miaka 30 sasa sikuwahi kugusa uchi wa mwanamke mungu ananiona kama nadanganya na nimekuja kuonja mwaka huu mwezi 1. Lakini hata mchumba niliye mpata ananibania tangia hapo hajanipa papuchi tena eti mpaka tuoane basi me nabaki kumuangalia tu maana miaka yote hiyo me naona akininyima ni sawa na maisha niliyokuwa naishi hapo kabla. Hapo ndipo naamini mwenye huruma hana bahati. Mkuu sio wewe tu kwa miaka hiyo 9. Wapo ambao wamezidisha zaidi yako au yangu. DUNIA IMEFICHA MENGI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…