Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Unajisifu ujinga bure kabsa... Labda ndio unabalehe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unarekodi ya muda gani?? Jirani...Duuh! Ngoja nijitahidi kujilazimisha kuamini Mkuu.
Hahaaa. Nimejikuta nawaza kwa sauti jirani hapo Dr huwa anasema mgonjwa unaugua nini?Wengine tukikosa papuchi week moja tuu tunalazwa hospitali.
Mtoa mada inabidi upelekwe makumbusho ya taifa
Hahaaaa. Ana utani sana aiseeee.
Hahaaaa. Swali gumu sana hili jirani. LolUnarekodi ya muda gani?? Jirani...
Kumbe umeona nawewe. Lakini kwa mabandiko yake anaonekana bado kijana huyu..
Kwenye majibu yako usisahau kunitag!hahahHahaaaa. Swali gumu sana hili jirani. Lol
Hahahaaa. Usijali Mkuu. Nitakutag. Hahaaaa.Kwenye majibu yako usisahau kunitag!hahah
Mimi nilifanya nikiwa na miaka 20 kwa mara ya kwanza kabisaaaa...mbona mimi nilijizuia miaka 16
toka nmezaliwa hadi nilipotimiza miaka 16 ndo nkaanza kuonja
Naomba mbinu unazotumia ili kufanikiwa katika swala iloo...Hebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenz, ungejisikiaje? leo mwana jf mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz... ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenz wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata wiki hamuwez jizuia, natumai
mwakaka huu mwez wa 8 ntaonja papuchi. mpaka sasa ninavyo andika sina dem wala mchumba naishi mwenyewe tu! japo swala la kujizuia si la kitoto ila nimeweza namshukulu mwenyez mungu kwa kunijalia uvumilivu.
Nishapata jibu jirani. Habar za goodmorningHahaaaa. Swali gumu sana hili jirani. Lol
Hahahaaa. Hapo sawa jirani.Nishapata jibu jirani. Habar za goodmorning