Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Mimi nilijizuia miaka 25 toka nilivozaliwa ila nilivoanza imekuwa shida sijizuii ....yani mwanzo mwisho
 
Sasa hivi wiki zikifika mbili network haipo...ikifika mwezi ndio kabisaa inabidi tu nifanye mpango utimie
 
Hebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenz, ungejisikiaje? leo mwana jf mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz... ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenz wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata wiki hamuwez jizuia, natumai
mwakaka huu mwez wa 8 ntaonja papuchi. mpaka sasa ninavyo andika sina dem wala mchumba naishi mwenyewe tu! japo swala la kujizuia si la kitoto ila nimeweza namshukulu mwenyez mungu kwa kunijalia uvumilivu.
Naomba mbinu unazotumia ili kufanikiwa katika swala iloo...
 
Siku ukigegeda kazima upelekwe milembe mkuu. Wenda misuli yako ikasisimka kupita vipimo akajikuta chizi
 
Back
Top Bottom