Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Hata kama akiolewa na huyo bwana anaweza kupewa mwezi mmoja tu siku nyingine akaambiwa hana kama vipi rudi kwenuHuyu mtoa mada itakuwa anaota ingekuwa vizuri aliye karibu nae amshtue kidogo naona kashafika us anawaza madolali ,hakuna mwanaume wa hivyo usitusingizie ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wauchumba ahadi zinatolewaga kibao zingekuwa zote zinatekelezwa ndoa nyingi zisinge vunjika