Nimetoa sharti la kupewa laki kila mwezi ....vinginevyo atambae

Nimetoa sharti la kupewa laki kila mwezi ....vinginevyo atambae

Sawa ni jukumu la mwanaume kumhudumia mkewe, ila mtoa mada yupo cheap jamani, sasa hiyo laki 1 kwa mwezi sijui kaiona nyiingi, hata dolla 50 haifiki, wakati mtu ndani ya masaa machache hiyo laki 1 ukienda nayo high spirit haurudi na kitu misstrace pakaywatek jooohs kibaravumba gwankaja
Hiyo kwake nyingi kuna watu wana budget ya sh.2000 kwasiku sasa hiyo laki lazima iwe kubwa au huyo mme mtarajiwa anapokea laki 5 kwa mwezi lazima hiyo iwe nyingi sana tusimlaumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda umpate mshamba wa Kei, ila kama jamaa mzoefu huyo atakuaibisha mbaya!
 
Unadhalilisha wanawake wenzako.

I'm sure feminists wasingependa kuona hii kitu
 
Kuna mtanashati ameonesha nia kutaka kunioa. Nami nikaona niwe muwazi kwake mapema isije ikazua balaa siku za usoni.

Nimefunguka kinaga ubaga kuwa mwanamke mazingira, mwanamke matunzo. Nikaenda mbali zaidi kwa kumpa usemi usemao "ukiona mbwa anakonda lawama zinaenda kwa mwenye mbwa". Na mm sitaki kuchakaa nitakapo olewa.

Basi nikamuambia ili kuhakikisha naendelea kupendeza nitataka uwe unanipa pesa kwa ajili ya matumizi yangu ya dharura isiyopungua laki. Hii pesa pamoja na mshahara wangu usiiihesabie kwenye matumizi yoyote ya nyumbani wala usiichukulie kama ndiyo hela ya matunzo yangu. Hii ni kama pocket money tu. Ili mtoto wa watu niendelee kuchanua na nisichake kwa stress.

Ndiyo. Huko ndiyo kuolewa, mwanaume si ni kichwa cha nyumba!??Siyo niolewe halafu bado niendelee kuishi kwa kuiwazia hela ya kula, kodi, kuvaa, kunywa,n.k. Hela ya kuendesha maisha ya familia inatafutwa na mwanaume mm si nimeolewa bhana.!?Mshahara wangu ni kwa ajili ya mambo yangu. Kazi yangu kubwa ni kuzaa tu. Ndiyo maana nchi za kiarabu huko mwanamke akibeba mimba mumewe inabidi alipe hela nyingi sana kama asante kwa mkewe. Na bado wanawake wengi ktk nchi hizo siyo tu kwamba hawaendi maofisini, bali hata sokoni hawaendi.

Nimempa hilo sharti, akiliona analiweza poa, akishindwa basi ajue siyo fungu lake.

ONYO; Wanaume bebeni jukumu la kulea familia, msioe kwa kuangalia mishahara ya wake zenu. Wanawake wanapaswa kutunzwa. Mishahara yao ipo kama ziada kwa matumizi yao binafsi.
Unauza bei gani waweke wazi wanunue

Maana wewe si mwanamke wa kuolewa kama una akili hizo na atakayekuoa jua hana ubongo ndani bali ndani ya fuvu la kichwa ana nyama za tikitimaji na mbegu zake. Upo kwa ajili ya pesa na si mstakabali wa kimahusiano.

Hivi nani ndani ya dunia hii anataka mwanamke mbinafsi kama wewe, ukiolewa na bwana akapatwa na tatizo kwenye ndoa si utamkimbia na ukitongozwa na mwenye nazo utagawa tu.

Au ndiyo saluni unayoitumia kutengeneza nywele unaowakuta hao wanakushauri hivyo?
 
Utapigwa na hata sent hutapata!
sisi ndio wanaume
 
Ila wanawake mnajishusha thamani sana. Kwamba laki kwa mwezi ndio inaendana na thamani yako.? Yani wewe pamoja na huyo jamaa wote mkapimwe mkojo. Si bure
 
Kuna mtanashati ameonesha nia kutaka kunioa. Nami nikaona niwe muwazi kwake mapema isije ikazua balaa siku za usoni.

Nimefunguka kinaga ubaga kuwa mwanamke mazingira, mwanamke matunzo. Nikaenda mbali zaidi kwa kumpa usemi usemao "ukiona mbwa anakonda lawama zinaenda kwa mwenye mbwa". Na mm sitaki kuchakaa nitakapo olewa.
Namwonea huruma aliekuzaa! Pole sana kwa kuwa na ubongo wenye vumbi
 
Salaamu wanaJF,<br /><br />Jamani mimi umri umesonga sana, ndoa naihitaji lakini bado sijabahatika. Nimekuwa nikikumbana na changamoto ya kumegwa pasipo kuolewa. Kuna changamoto sana miaka hii kwa mwanamke kumtambua mwanaume muoaji na ambaye siye. Labda ngoja niwape kwa muhutasari tu yale nilyopitia mimi kwa wanaume 6 tofauti. Nini kilijiri?<br /><br />Wa kwanza, nilikuwa bado mshamba saña. Nilidhani kila anaesema nakupenda anamaanisha.

Aliponitamkia nakupenda na kunipa ahadi ya ndoa mtoto wa kike nikajiachia. Kidume akamega mzigo mara kadhaa, kisha taratibu akaanza kunipotezea. Iliniumiza sana. Nikaahidi kutorudia.<br /><br />Wa pili, alipojitokeza tu nikampa msimamo wangu na akakubali. Lakini kumbe kakubali mdomoni, akilini mwake anapanga kutafuta mbinu ya kunimega. Alionyesha upendo kwangu kwa vitendo na maneno. Alikuwa mwepesi wa kunitatulia matatizo yangu. Baada ya miezi kadhaa kupita jamaa akaomba mzigo nikamkumbusha msimamo wangu. Jamaa siku hiyo ndiyo akakata kabisa mahusiano. Nikawa nimepoteza mtu ambaye kiukweli alikuwa ana dalili zote za mume bora.

Lakini hofu ya kumegwa na kuachwa iliniponza.<br /><br />Wa tatu, huyu naye nilimpa msimamo wangu. Akakubali kwa masharti kwamba yuko tayari kusubiri kumega hadi siku ya ndoa endapo tu nyapu iko bikra. Vinginevyo hapana. Duuh! Mdada wa watu nikajitathimini nikaona nyapu yangu hata nikiikamulia juisi ya ndimu lita nzima bikra feki haiwezi kujitengeneza.<br /><br /> Kwa sharti hilo na umri pía unazidi kusonga, nikaona nisijepoteza muoaji kwa misimamo yangu. Nikatoa ruksa. Jamaa akamega kwa miezi mitatu na nikawa nisha mtambulisha hata kwa dadangu lkn mwishowe akasepa. Alijifanya kahamishiwa mkoa mwingine kikazi kumbe wapi bwana.

Kishapata alichotaka.<br /> <br />Kwa kifupi jamani wanaume sita wamenimega kwa gia hii hii ya kuoa lakini naishia patupu. Nikikataa kutoa mzigo wanasepa na nikitoa mzigo wanamega na kusepa.<br /><br />WanaJF mnipe maujanja, nifanyeje niipate ndoa. Japo mtu amege lakini aoe.<br /><br />JF ni mtambo wa fikra huru. <font color="[HASHTAG]#ff4d4d[/HASHTAG]">Jikite</font> <font color="[HASHTAG]#ff0000[/HASHTAG]">kwenye</font> <font color="[HASHTAG]#ff0000[/HASHTAG]">mada </font>tafadhali.<br /><br />Karibuni..
 
Kuna mtanashati ameonesha nia kutaka kunioa. Nami nikaona niwe muwazi kwake mapema isije ikazua balaa siku za usoni.

Nimefunguka kinaga ubaga kuwa mwanamke mazingira, mwanamke matunzo. Nikaenda mbali zaidi kwa kumpa usemi usemao "ukiona mbwa anakonda lawama zinaenda kwa mwenye mbwa". Na mm sitaki kuchakaa nitakapo olewa.

Basi nikamuambia ili kuhakikisha naendelea kupendeza nitataka uwe unanipa pesa kwa ajili ya matumizi yangu ya dharura isiyopungua laki. Hii pesa pamoja na mshahara wangu usiiihesabie kwenye matumizi yoyote ya nyumbani wala usiichukulie kama ndiyo hela ya matunzo yangu. Hii ni kama pocket money tu. Ili mtoto wa watu niendelee kuchanua na nisichake kwa stress.

Ndiyo. Huko ndiyo kuolewa, mwanaume si ni kichwa cha nyumba!??Siyo niolewe halafu bado niendelee kuishi kwa kuiwazia hela ya kula, kodi, kuvaa, kunywa,n.k. Hela ya kuendesha maisha ya familia inatafutwa na mwanaume mm si nimeolewa bhana.!?Mshahara wangu ni kwa ajili ya mambo yangu. Kazi yangu kubwa ni kuzaa tu. Ndiyo maana nchi za kiarabu huko mwanamke akibeba mimba mumewe inabidi alipe hela nyingi sana kama asante kwa mkewe. Na bado wanawake wengi ktk nchi hizo siyo tu kwamba hawaendi maofisini, bali hata sokoni hawaendi.

Nimempa hilo sharti, akiliona analiweza poa, akishindwa basi ajue siyo fungu lake.

ONYO; Wanaume bebeni jukumu la kulea familia, msioe kwa kuangalia mishahara ya wake zenu. Wanawake wanapaswa kutunzwa. Mishahara yao ipo kama ziada kwa matumizi yao binafsi.
Yani kama bado una mawazo haya, endelea tu kupambana na hali yako aiseee
 
Kuna mtanashati ameonesha nia kutaka kunioa. Nami nikaona niwe muwazi kwake mapema isije ikazua balaa siku za usoni.

Nimefunguka kinaga ubaga kuwa mwanamke mazingira, mwanamke matunzo. Nikaenda mbali zaidi kwa kumpa usemi usemao "ukiona mbwa anakonda lawama zinaenda kwa mwenye mbwa". Na mm sitaki kuchakaa nitakapo olewa.

Basi nikamuambia ili kuhakikisha naendelea kupendeza nitataka uwe unanipa pesa kwa ajili ya matumizi yangu ya dharura isiyopungua laki. Hii pesa pamoja na mshahara wangu usiiihesabie kwenye matumizi yoyote ya nyumbani wala usiichukulie kama ndiyo hela ya matunzo yangu. Hii ni kama pocket money tu. Ili mtoto wa watu niendelee kuchanua na nisichake kwa stress.

Ndiyo. Huko ndiyo kuolewa, mwanaume si ni kichwa cha nyumba!??Siyo niolewe halafu bado niendelee kuishi kwa kuiwazia hela ya kula, kodi, kuvaa, kunywa,n.k. Hela ya kuendesha maisha ya familia inatafutwa na mwanaume mm si nimeolewa bhana.!?Mshahara wangu ni kwa ajili ya mambo yangu. Kazi yangu kubwa ni kuzaa tu. Ndiyo maana nchi za kiarabu huko mwanamke akibeba mimba mumewe inabidi alipe hela nyingi sana kama asante kwa mkewe. Na bado wanawake wengi ktk nchi hizo siyo tu kwamba hawaendi maofisini, bali hata sokoni hawaendi.

Nimempa hilo sharti, akiliona analiweza poa, akishindwa basi ajue siyo fungu lake.

ONYO; Wanaume bebeni jukumu la kulea familia, msioe kwa kuangalia mishahara ya wake zenu. Wanawake wanapaswa kutunzwa. Mishahara yao ipo kama ziada kwa matumizi yao binafsi.
Demu wangu wa zamani ananishauri nioe beki 3 wake

Sent from my Phillips Savy
 
Back
Top Bottom