Nimetoka Jela.. Maugwadu kinomaa.. Erickb52! Nitafutie Demu mkalii!!

Haahaahaaa kipya kinyemi dadadeeki sio km Bishanga na The secretary watoto 13 ndani ya miaka 11 ya ndoa yao heeheheee lazma vifanyio vyao vishaexpire

heehehe iya haahaha usipotaka utanitaka nitakupakata nitakupa maji kwenye kata utatakata utan'taka! chezeiya kitu new brand kupaka blue band na mafuta ya ubuyu veeeri niiu siyo ya kwako unayopaka pilipili kichaa kutwaa kuchachamaa na kukauka ka muhogo wa kuchoma Erickb52 utasubiri sana papai chini ya mnazi cc: Madame B , Bishanga
 
Last edited by a moderator:
Dadadadeeeeki
Nimekoma kukuchokoza
Mwanamke una mdomo mchafu kama shimo la choo lol pfuuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Dadadadeeeeki
Nimekoma kukuchokoza
Mwanamke una mdomo mchafu kama shimo la choo lol pfuuuuuuu

come ooon boy tema mate chini mbona mie siyo serukamba hapo bado sijavuta bangi nikivuta je!chezeya under 20 hivi yule nkeo wa 20s Chocs yu wapi? sijamtia machoni.
 
Last edited by a moderator:
come ooon boy tema mate chini mbona mie siyo serukamba hapo bado sijavuta bangi nikivuta je!chezeya under 20 hivi yule nkeo wa 20s Chocs yu wapi? sijamtia machoni.

siku izi ananipenda mimi.. kwa huyu Erickb52 anapoteza muda tu
 
Last edited by a moderator:
na ukiendelea kula rushwa za mjengoni cc utapelekwa mahakamani bora hiyo jela kwani umeponea chupuchupu na basdo ukiendelea tena tunakupeleka mahabusu s=na sio jela kule ni kudogo sana
 
na ukiendelea kula rushwa za mjengoni cc utapelekwa mahakamani bora hiyo jela kwani umeponea chupuchupu na basdo ukiendelea tena tunakupeleka mahabusu s=na sio jela kule ni kudogo sana

mrembo mzuri! lady wa ukweli..niaje ww?
 
come ooon boy tema mate chini mbona mie siyo serukamba hapo bado sijavuta bangi nikivuta je!chezeya under 20 hivi yule nkeo wa 20s Chocs yu wapi? sijamtia machoni.
Mtoto bado ananyonya? Bishanga ankusaidia kulea kweli?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…