Nimetoka kanisani kwetu Mikocheni, tumesomewa tena waraka wa Maaskofu wa Katoliki kupinga uuzwaji wa bandari,watu wamepiga makofi na vigelegele

Nimetoka kanisani kwetu Mikocheni, tumesomewa tena waraka wa Maaskofu wa Katoliki kupinga uuzwaji wa bandari,watu wamepiga makofi na vigelegele

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
👍👍nimetoka kanisani Mikocheni. Tumesomewa tena Tamko la Maaskofu,Leo kanisa lilikuwa limejaa kushinda siku zote naamini walikuwepo Waislamu na madhehebu mengine,watu wote wakaungana na Waumini tumepiga makofi mengi sana kuliko hata jumapili iliyopita,Paroko amesema usomwe pia kwenye Jumuiya watu wakapiga vigelegele,Salaam kwako wewe Saa100 uliyetufikisha hapa.
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo
 
[emoji106][emoji106]nimetoka kanisani Mikocheni. Tumesomewa tena Tamko la Maaskofu,Leo kanisa lilikuwa limejaa kushinda siku zote naamini walikuwepo Waislamu na madhehebu mengine,watu wote wakaungana na Waumini tumepiga makofi mengi sana kuliko hata jumapili iliyopita,Paroko amesema usomwe pia kwenye Jumuiya watu wakapiga vigelegele,Salaam kwako wewe Saa100 uliyetufikisha hapa.
Hayo ndiyo mafanikio pekee mtakayoyapata kuishia kupiga makofi na vigelegele.

Uwekezaji wa bandari upo pale pale hatuwezi kuwaendekeza wezi kutuibia mapato pale bandarini.
 
Mbunge mmoja wa CCM ameonekana Vatican akisalimiana na Papa wa Kanisa Katoliki la Roma,ni wazi kapeleka ujumbe kwa Papa wa Kanisa Katoliki la Roma kufuatia Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Roma Tanzania kupinga mkataba wa kuiuza bandari ya Dar es Salaam,na nguvu hiyo tayari Serikali imesitisha kukusanya maoni ya kuibadili sheria ya kulinda maliasili za Tanzania inayoitaka kesi ya Maliasili za Tanzania kusikilizwa hapa hapa Tanzania.
 
Ogopa kitu kinachopingwa na "wanafalsafa ". Plato alisema uongozi bora ni ule unaongozwa na "philosopher".
 
Back
Top Bottom