Nimetoka Moshi na Toyota Vitz nimezinyanyasa Subaru, Harrier sio mchezo

Nimetoka Moshi na Toyota Vitz nimezinyanyasa Subaru, Harrier sio mchezo

Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Labda zilikua hazina matairi
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Sifa za kijinga
 
Yaan kila siku huu msimu tunataarifa mbaya afu wew unajisifia ligi

Kumbe kuna watu ni vichwa vigumu

Kwanza niliamin mwaka ujao mtakamo au mtapunguza kabisa kwenda kilimanjaro maana mwaka huu ajar zimewafyeka sana
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Sema wenye gari kali kama v8 walikuwa wanakuona wewe ni mjinga mjinga. Mshukuru Mungu umefika salama.
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Unamdanganya nani
 
1000017969.jpg
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Wengine tunatamani tuuone mwaka mpya hivyo hatukuwa na sababu za kuwanyanyasa wengine barabarani.
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Utoto. Ukikua utaacha hizi stories za kitoto.
 
Back
Top Bottom