Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Status
Not open for further replies.
We mnyarwanda ushindwe na ulegee kama boo lilopizi... Tz ndo kila kinga
 
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Kuhusu Tabia umepotea hawa wadada wa kitutsi wana dharau sana hasa ukiwa na sura ya moze iyobo ila ukiwa half cast hv utawapata sana tena wenyewe ndio wanakubembeleza utoke nao
 
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
kwahiyo tanzania wote wanaume
 
Kondoa si sana, huko mbulu baba kuna watoto utadhani wahabesh
Tatizo WAMBULU ni tafsiri iliyojitosheleza kua mwanamke tabia siyo sura,tabia zao zakutoa kwa wanaume ndiyo inayowachafua,hasa wakijua wewe mwanaume ni 'HOMO'(siyo mzawa wakule).
 
Kwenye tabia hapo umegonga mwamba, wengi wanapenda pesa hata kama unatabia nzuri vipi bila pesa hautampata, ni pm nikupe uzoefu
Toa uzoefu hapahapa mkuu ili tuwajue vizuri.
 
Unadhalilisha mama na dada zetu basi ukisikia ushamba na ulimbukeni ndio huo. Ni kitu gani walicho nacho ambacho wanwake wa kitanzania hawana. Nilishakwenda Rwanda naomba ieleweke wanaoonekana kwenye picha ni wale models na mamiss vivyo hivyo ukienda Ethiopia. Waliowengi ni wa kawaida tu tusidanganywe na picha za kwenye magazeti
 
0fd2150781784b5ba6bf4cc84aa13630_L.jpg
Ethiopian
 
Uzuri wa mwanamke unatokana na vigezo vya anayependa na siyo magazeti au kamati za mamiss au urembo
 
Unadhalilisha mama na dada zetu basi ukisikia ushamba na ulimbukeni ndio huo. Ni kitu gani walicho nacho ambacho wanwake wa kitanzania hawana. Nilishakwenda Rwanda naomba ieleweke wanaoonekana kwenye picha ni wale models na mamiss vivyo hivyo ukienda Ethiopia. Waliowengi ni wa kawaida tu tusidanganywe na picha za kwenye magazeti
Acha zako Ethiopia na Rwanda wanawake ni wazuri sana hata kama ni wa kijijini ama anatoka familia duni ni wazuri naturally tofauti na hapa kwetu mdada mzuri mpaka ajiongeze kwa kujichubua, mchina nk
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom