gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
HahahahaKwahiyo sie ni wanaume wenzio au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaKwahiyo sie ni wanaume wenzio au?
Huku bongo michosho kina mariam ndala ndefu wanaringa wakati wamejipiga filters tupu......rwanda sio pakispot spot kabisa.....december twende maana kuna mama yako nimempata huko na mimi.Hahahaha!
Kwa hiyo elimu uliyonayo mpaka na kupelekwa hadi Rwanda kikazi....Hicho ndo ulichokichambua kwa elimu hiyo hiyo hadi kukifungulia uzi hapa ambao utachukua nafasi kwenye seva?
Ama umekuja tu kusababisha Civil Unrest?
Preta usiende kabisaaaa ninakilio sijui kitaisha lini, hadi najionea huruma, hao wanabebana wenyewe kwa wenyewe at last!!!!
Kwa hiyo mama wako ni mwanaume au?Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
jitayarishe kumwagwa maji.Hebu tupe na habari za wanaume........nataka niende.........
jitayarishe kumwagwa maji.Hebu tupe na habari za wanaume........nataka niende.........
Unaposema ukale bata na watutsi una maana ukafanye umalaya?Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
[emoji39] [emoji39]
Mmmh! Lazima nichukue uraia wa Rwanda aisee!! Wasichana wa bongo bado sanaa....
Kwahiyo hata mamako sio mwanamke?Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu