Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Status
Not open for further replies.
Kwani wewe ulizaliwa na mwanaume tu hapa Tanzania? Mpaka useme hakuna wanawake?
 
Aliyekuzaa Wewe ni mti?
 
Umeoa jiwe au paka hebu rekebisha kauli maana niko na mtoto toka mburu ameumbika balaa unaposema hakuna wanawake wakati mie napewa hadi gia 7 per 20 minutes
 
Nadhani mleta mada alinuia kuandika mademu aka mashori, kiukweli wanavutia sana hawa watoto lakini haina maana kwamba wabongo hawana mvuto. Tz ni Nouma aise yani madem wa tz ngeambiwa niwafananishe na bia ningewaita balimi wako on fire masaa zote Ila ndiyo ujipange sasa ati kila demu anataka mwanaume ndiyo aanze kutongoza wacheni hizo kwani hamnaga genye nyie?
 
Kwa hiyo mshua ako alikukunya. Fala sana wewe. Vitu vingine keep to yourself. Sura lako lenyewe inaonekana baya alafu unataka wadada wazuri. Si tunawapenda hawahawa kwetu Wana misambwanda balaa
 
Yaani wewe huna adabu kweli,kwa hiyo wewe umejizaa mwenyewe kama Tanzania hakuna wanawake,acha dharau ndugu.
 
Kwahiyo mama yako na dada zako ni nyani yawezekana wewe hata mama yako huwezi mtambulisha kwa rafiki zako, (nkwende wee) kafie mbele huko wewe mwenyewe sura kama una puliza moto wa kuni mbichi
 
Km wazuri ndo hawa kweli Tanzania tumejaliwa. Mimi tu hapo hakuna anayenifikia ata kidole
Wewe ni Mhindi mwenye asili ya Tanzania ndo maana wajiona mzuri. sisi tunaongela pure african, kwahiyo ngoja kwanza.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…