Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ha ha haaa Kwa Mujibu wa Mtazamo wa Mleta mada, kifungu namba Chit Chat ibara ya kwanza kifungu cha tatu A na B, Kinasema kwamba jibu ni Ndio na ninyi ni wanaume wenzake.Kwahiyo sie ni wanaume wenzio au?
Mimi mwenyewe mburu
MAMA yako ni MWANAUME?Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Mamake ni mnyarwanda na ndio anatoka kumsalimia[emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji4] [emoji3]Uuuuuwiiiii tunaomba jibuuu...
Usipanick madam!! Anatania tu huyu[emoji2] [emoji2]Kaoe ndio kwani lazima uje kutangaza??
haha mamboMimi mwenyewe mburu
Unataka kusema nini sasa? Hao wanawake wameexpire? 2014 na Leo nadhani hakuna tofauti kama ni wazuri ni wazuri tu! TukubaliHii post ni ya 2014 utawala wa jk
Poahaha mambo
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Ukanda wa Kondoa,babati,mbulu had karatu totoz za hivi zinapatikana kabisa
Acha utani mkuu, hiyo picha siyo uhalisia wao. Hujaona miili ilivyokatika. Furthermore they know how to handle a Man. They are polite and Shy mkiwa nje and very crazy in bed. Sijui kwa nini tuliungana na wa Zanzibar. Waunguja majuba sana halafu ni rangi ya mtume tu ila siyo wazuri. Rwanda ni wazuri sana. Mungu fundi sana aiseeee.....Ukanda wa Kondoa,babati,mbulu had karatu totoz za hivi zinapatikana kabisa