Chubbylady
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 621
- 1,018
Ndio mana kuna watu wanapinga mambo za mahari sababu ndio kama hizi. Kwani angepokea hyo 1M angepungukiwa kitu gani wazee wengine nuksi sana.
afu mahali milioni 4 huyo binti hatarudi kwao??? sema sishangai bro wangu alitajiwa mahali 6M akalia lia wakapunguza mpaka 4M[emoji23][emoji1787][emoji174][emoji174] mama angu ana hasira mpaka leo na hiyo pesa mwanae katajiwa[emoji119][emoji119]
Usinitishe bhanaaa, kwani nilibaka?Mwanaume gani HUNA KIFUA? Be gentlemen, hii issue ndogo sana sana sema umeikuza sana. Wewe subiri upate mtoto wa kike umsomeshe hadi Universitty atokee Bazazi kama wewe ampachike mimba, binti ajifungue then linakuja kutokea mtoto anakrbia mwaka. Aysee mimi ntakuttwanga risasi mamaaae zako. Mwanangu Chuo kikuu nilimtuma Degree siyo MIMBA yako. Huna nidhamu wewe kijana huyo mzee hajakosea.
Ukimuacha huyo binti kuna mawili laaana ya Mke imuandame au Laana ya mzee ikuandame kimila zaidi. Hupitishi round. RIP in advance
Ni muha kabisa mkuuMwanamke wako ni kabila gani emu tuanzie hapo maana kigoma kuna kabil nyingi za nchi jirani na nyingine za mikoa jirani
Huyu hajui kila jamii ina tamaduni zake, huyu angekuwa kamfanyia binti waki Zanzibar ndiyo angejua vizuri ni jambo baya la kuishi kinyumba na binti wawatu bila ndoa, kule Zanzibar angefungwa jela kwa kosa la kutorosha binti chini ya uangalizi wa wazazi na kumbaka na kuishi naye kinyumba yani mpaka leo angekuwa yupo mahabusu, yani Wazanzibari wanatushangaa sana sisi watanganyika tunaishi na wanawake bila ndoa, hii tabia ya hovyo wazanzibari hawana ya kuishi kinyumba na mtoto wa mtu.Wewe ndie mpuuzi tena huna hata chembe ya busara. Karma is real nawewe utapata watoto wa kike naombea sana suala hili likupate siku moja. Yaani umzalishe binti yangu halafu uje kujileta baada ya mwaka? Utachezea vitasa mpaka MOI wadhani umegongwa na Treni. Be Calm umeharibu wewe na ugomvi umeauanza wewe kwa mzee.
HasaraHasira
Kwa hiyo ningeamua kukaa kimya bila kwenda huko kujitambulisha ndo ingekuwa sawa?Kaenda kujionyesha baada ya kuishi kinyumba mpaka mtoto kuzaliwa sasa hapo uoni dharau hizo? Wewe usikie binti yako yupo Dar anaishi na mwanaume kama mke na kazalishwa je kama familia ya binti mtajisikiaje na jamii ya iliyowazunguka si itakuwa fedheha ? Maana maisha ya vijijini yanajulikana utasikia mtoto wa furahi kazalishwa na anaishi na mwanaume bila kuolewa na wazazi wake watakuwa wanaishi bila furaha.
Yani we jamaa umekaa na mtoto wa watu, umemzalisha, umemtuma kwao ili uje kukamilisha taratibu za kuoa, wewe umemchukua ndugu yako mmoja eti mnaenda kujadili mahari, it doesn't make any sense, ni dharau na mazoea hayo. Kwani huko kwenu taratibu za kuoa zikoje? Au ndo ukishampiga mtoto wa mtu mimba ndo unatoka na rafiki yako kwenda kwa babamkwe kuuliza ni shangapi?
huko usukumani watu wanatoa hadi ng'ombe 20+afu mahali milioni 4 huyo binti hatarudi kwao??? sema sishangai bro wangu alitajiwa mahali 6M akalia lia wakapunguza mpaka 4M[emoji23][emoji1787][emoji174][emoji174] mama angu ana hasira mpaka leo na hiyo pesa mwanae katajiwa[emoji119][emoji119]
Hiyo ni contract inakuwa na mashahidi ( Third parties-Wazazi/Ndugu na jamaa)Hao ni wavurugaji wengi wao....vema wabaki kuwa wapenzi watazamaji, ukiwaintatein wananunua bandari [emoji16]
Jamaa anatakiwa awe mpole tuu, wazee wa huyo binti ni wazee wa kimila sasa mwamba wetu yeye ni Mzee wa dot.com , kimila ni aibu binti kuzaa bila ndoa ...yeye aendelee Tu na binti alafu M4 siyo hela nyingi Kwa binti ambaye umezaa naye na ana upendo wa dhati .... Jamaa bado maziwa mdomoni aisewWewe ndie mpuuzi tena huna hata chembe ya busara. Karma is real nawewe utapata watoto wa kike naombea sana suala hili likupate siku moja. Yaani umzalishe binti yangu halafu uje kujileta baada ya mwaka? Utachezea vitasa mpaka MOI wadhani umegongwa na Treni. Be Calm umeharibu wewe na ugomvi umeauanza wewe kwa mzee.
Ndiyo ya mwanamke, ndiyo maana kila siku zinatungwa sheria za kumlinda mtoto wakike.we unafikiri huyo binti wazazi wake wamejibana kiasi gani ili kumsomesha mtoto wao usikute huyo mzee kauza mashamba na mifungo ili mtoto wake aje awasaidie wadogo zake.Kwa hiyoninsyodharaulika ni familia ya mwanamke tu, lakini ya mwanaume haidharauliki?
Kwa watu wenye vipato vya kueleweka sio issue sana ila tia maji 6M ni nyingi sana.huko usukumani watu wanatoa hadi ng'ombe 20+
Kwao ni sawa tu ndiyo maana hawaja kushobokea, watalea mjukuu wao maisha yataendelea.Kwa hiyo ningeamua kukaa kimya bila kwenda huko kujitambulisha ndo ingekuwa sawa?