Takribani miaka 6 Sita Sasa tangu uangalizi wangu kwa binti wa majirani zetu, nampenda yule binti nayeye pia ananipenda pia kwao walizaliwa 6 lakini wa kiume mmoja binti Huyo Alifunga kizazi na ndio pekee aliyeweza kusoma
1.ugomvi wa visima vya maji
Ugomvi ulianza kwenye kisima cha maji mwaka 2007 wakati huo visima vya futi 7 had 8 ndo vilikua vyanzo maji mkoani kwetu mama yake binti, watoto wa kiume, yao pamoja Dada zake watatu mara kwa mara waligombana na mama walikuwa wakivunja uzio ule wa nyasi na Kuiba maji Bila idhini ya mama!
(huu ulifika mwsho Baada ya 2023)Baada ya mimi kuongeza uref
2.ugomvi wa mipaka ya nyumba (huu ugomvi umedumu miaka 16)
(Nimekuja kuumaliza mwaka Jana Baada ya mama kufariki 2023 )
(lakini hapa ndipo nitamnukuu Dr. Jakaya kikwete(usirithi adui wa mtu mwingine) naongezea kwa vile mama yetu alitufunza kuwa ata kama tunaona
watu fulani wanagombana nayeye tusiache kuwasalimia kwa adabu wala tusijiingize kwenye vita zao
3.ugomvi wa kibiashara
Kwa miaka 15 tangu 2009 wao (biashara zetu zilifanana) hawakuwahi kununua kwetu wala sisi hatukuwahi kununua kwao na maduka yalikuwa ni nyumba jirani mimi nilimaliza miaka 5 Bila kupitia njia yao na hadi Leo ni ngumu kupitia kwenye njia iliyo mbele ya nyumba yao
4.Baada ya mama kufariki mama yao hao majirani waliuhudhuria msibani na kwenye mapishi walishiriki Tena vizuri mno nakumbuka Ata mapishi ya mwisho mama yao jirani zetu alikesha hadi asubuhi na hakuna mtu wa familia yangu aliyedhurika Kati yetu kwa Kula chakula kilichopikwa na jirani yetu Huyo ambaye tunabeef nao
Mwisho wa story binti yao mimi nampenda lakini kuna dosari mbili
1.mzazi wangu aliyebaki hasalimiani nao
2.ndugu zangu pia
Wale Ile familia mm nasalimiana nao wote baba yao, mama yao, kaka zao mwanzoni wali jaribu kunichokoza waakanzisha vita za mitaro 🤣mimi nikawa jibu shortly "sijibizanagi na wanawake sana sana mtakula makofi tu"
Waka jaribu mara nyingine kunichokoza kuhusu maji ya mtaro maana tunashare mifereji ya maji taka nkafumua shimo lililopo nikaliongezea futi wote kimya
Mpaka sasa yapata mwaka tunasalimiana vizuri mno (mama yao ni mchuuzi mdogo mdogo sokoni) japo sijawahi kumuungisha Nina wasiwasi nao, baba yao anauza duka la home access zijawahi muungisha pia Ila ninawasalimia kwa adabu wote mama na baba yao!
kuna mda wananiletea hadi wapangaji kwenye nyumba yetu na wale wapangaji Hawana shida kabsa,sometimes kwenye biashara wanasontesha(kwenye biashara yangu ndogo ndogo wateja waniungushe)
Mwisho, mimi binafsi natamani bifu yetu iishe maana ni bifu baridi
(na binti yao Alishawahi kuniuliza wazazi walikuwa na ugomvi wakigundua uhusiano wetu na yule binti itakua vipi)
NB. Binti yule ametulia pekee kapiga shule kuliko wote kwao amebahatika na kuajiriwa sehemu nzuri (tulisoma shule moja wakati yuko formtwo mimi nilikuwa fomfsix na kiumri namzidi miaka 6), namzidi Kila kitu exposure, elimu, status Kila kitu
Ila angalau ni mtulivu(madhaifu mengine yanaeleweka) ya kawaida tu
Niache bifu baridi iendelee au nilimalize??
1.ugomvi wa visima vya maji
Ugomvi ulianza kwenye kisima cha maji mwaka 2007 wakati huo visima vya futi 7 had 8 ndo vilikua vyanzo maji mkoani kwetu mama yake binti, watoto wa kiume, yao pamoja Dada zake watatu mara kwa mara waligombana na mama walikuwa wakivunja uzio ule wa nyasi na Kuiba maji Bila idhini ya mama!
(huu ulifika mwsho Baada ya 2023)Baada ya mimi kuongeza uref
2.ugomvi wa mipaka ya nyumba (huu ugomvi umedumu miaka 16)
(Nimekuja kuumaliza mwaka Jana Baada ya mama kufariki 2023 )
(lakini hapa ndipo nitamnukuu Dr. Jakaya kikwete(usirithi adui wa mtu mwingine) naongezea kwa vile mama yetu alitufunza kuwa ata kama tunaona
watu fulani wanagombana nayeye tusiache kuwasalimia kwa adabu wala tusijiingize kwenye vita zao
3.ugomvi wa kibiashara
Kwa miaka 15 tangu 2009 wao (biashara zetu zilifanana) hawakuwahi kununua kwetu wala sisi hatukuwahi kununua kwao na maduka yalikuwa ni nyumba jirani mimi nilimaliza miaka 5 Bila kupitia njia yao na hadi Leo ni ngumu kupitia kwenye njia iliyo mbele ya nyumba yao
4.Baada ya mama kufariki mama yao hao majirani waliuhudhuria msibani na kwenye mapishi walishiriki Tena vizuri mno nakumbuka Ata mapishi ya mwisho mama yao jirani zetu alikesha hadi asubuhi na hakuna mtu wa familia yangu aliyedhurika Kati yetu kwa Kula chakula kilichopikwa na jirani yetu Huyo ambaye tunabeef nao
Mwisho wa story binti yao mimi nampenda lakini kuna dosari mbili
1.mzazi wangu aliyebaki hasalimiani nao
2.ndugu zangu pia
Wale Ile familia mm nasalimiana nao wote baba yao, mama yao, kaka zao mwanzoni wali jaribu kunichokoza waakanzisha vita za mitaro 🤣mimi nikawa jibu shortly "sijibizanagi na wanawake sana sana mtakula makofi tu"
Waka jaribu mara nyingine kunichokoza kuhusu maji ya mtaro maana tunashare mifereji ya maji taka nkafumua shimo lililopo nikaliongezea futi wote kimya
Mpaka sasa yapata mwaka tunasalimiana vizuri mno (mama yao ni mchuuzi mdogo mdogo sokoni) japo sijawahi kumuungisha Nina wasiwasi nao, baba yao anauza duka la home access zijawahi muungisha pia Ila ninawasalimia kwa adabu wote mama na baba yao!
kuna mda wananiletea hadi wapangaji kwenye nyumba yetu na wale wapangaji Hawana shida kabsa,sometimes kwenye biashara wanasontesha(kwenye biashara yangu ndogo ndogo wateja waniungushe)
Mwisho, mimi binafsi natamani bifu yetu iishe maana ni bifu baridi
(na binti yao Alishawahi kuniuliza wazazi walikuwa na ugomvi wakigundua uhusiano wetu na yule binti itakua vipi)
NB. Binti yule ametulia pekee kapiga shule kuliko wote kwao amebahatika na kuajiriwa sehemu nzuri (tulisoma shule moja wakati yuko formtwo mimi nilikuwa fomfsix na kiumri namzidi miaka 6), namzidi Kila kitu exposure, elimu, status Kila kitu
Ila angalau ni mtulivu(madhaifu mengine yanaeleweka) ya kawaida tu
Niache bifu baridi iendelee au nilimalize??