Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama

Tatizo lenu ninyi KE ni rahisi sana kuwadaka hata kama kwa siku ya kwanza umeonyesha hasira , dharau na matusi. Huwa mnakaa na kuanza kufikiri tena na kujifanya kuonea huruma mwisho wa siku mkikutana siku nyingine mnaanza kujilegeza msimamo. Mbaya zaidi ukute nyumbani jamaa kakukoromea au kuna kaugonvi utajipeleka mwenyewe kwa dogo anayeonekana anakujali
 
Mdada/Mmama unaombwa namba kistarabu unakaza "yanini sasa" we mpe namba then msikilizie atakwambia nini,unajua sometimes hawa watu wanaotupenda kimapenzi sio wa kuwapuuza sana maana huweza kutuambia mambo ya siri mengi ambayo tulikua hatuyafahamu.

Mfano: hako kadogo tu assume umempa namba then siku moja ktk kuchat ukamuuliza nyama ipo? akakujibu "Usije kesho nyama ya kesho ng'ombe hajatoka ukerewe,ni wa hapa hapa halafu ng'ombe nyama tumeipata ki ujanja ujanja" sio salama sana. ungejiskiaje?

unaweza ukaona unakula nyama salama ya ng'ombe ila siri ya hiyo nyama anaijua huyo dogo na maboss zake,vitoto vya namna hyo ni vya kutumia kupata details zako muhimu,chukulia ule upendo wake kama wa mwana na mama,usimtafsiri vingine.
 
Mkuu naona unampigia pande dogo [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
okay, tumekosoma

bucha ya nyama ya Ukerewe iko maeneo gani ?
 
Sasa anaenda kukutana na juchiii lililopoteza matumaini unafikiri ni kazi ndogo??[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Sawa bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanini usimwambie akukatie kiuno 2 mmalizane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…