Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie hapana ,hakuna mama wakamboo aliyewapenda watoto wa nje
Kuna mtu ameshatangaza Nia ya kunioa je niolewe au nikusubirie utangaze NiaKipenz changu nimeshakumic
Wewe inaelekea una rohongumu sana hivi unamtoto angalau mmoja??🤣🤣Mwambie hapana ,hakuna mama wakamboo aliyewapenda watoto wa nje
Nimeshangaa kweli,lakini ajitulize kwanzaUtoto mno kutangaza umetongozwa
Atakuja kama baba yake akiwa serious kunioa wataletwa 4 Mungu anijalie na mayai tu wewe ndio unaroho ngumu mf.wewe utakubali mwanamke mwingine akulele watoto wako??Wewe inaelekea una rohongumu sana hivi unamtoto angalau mmoja??🤣🤣
Kwanini asinilelee Kuna maradhi Kuna kufa kwanini nisilelewe wanangu lakini Sio mada iliyopoAtakuja kama baba yake akiwa serious kunioa wataletwa 4 Mungu anijalie na mayai tu wewe ndio unaroho ngumu mf.wewe utakubali mwanamke mwingine akulele watoto wako??
Kuwa muwazi
Mimi Sina mtoto wapo kiunoni nasubiria akishatangaza Nia Kwa wote manaa nikwetu tu kaongea haya basi tuone next year ubebajiKwanini asinilelee Kuna maradhi Kuna kufa kwanini nisilelewe wanangu lakini Sio mada iliyopo
Mimi Sina roho ngumu aisee nakukaribisha sikumoja uje kwangu njoo na Hao watoto wako🤣🤣🤣
kwahio wewe limwanamke lakichaga ukiletewa mtoto wannje utamtesa sindio?unaroho mbaya sana hufai.Mwambie hapana ,hakuna mama wakamboo aliyewapenda watoto wa nje
Wewe mwenyewe hufai kama mie sifai hata wewe hufaikwahio wewe limwanamke lakichaga ukiletewa mtoto wannje utamtesa sindio?unaroho mbaya sana hufai.
Mimi pia Sina mtoto kipenz lakini sikuwahi kuwaza Kwamba sitakuja Lea mtoto awe wangu asiwe wangu iwe Kwa makusudi au Kwa bahat mbaya.Mimi Sina mtoto wapo kiunoni nasubiria akishatangaza Nia Kwa wote manaa nikwetu tu kaongea haya basi tuone next year ubebaji
Ni wewe Sasa unaroho hiyo wengine hawanaMimi pia Sina mtoto kipenz lakini sikuwahi kuwaza Kwamba sitakuja Lea mtoto awe wangu asiwe wangu iwe Kwa makusudi au Kwa bahat mbaya.