Nimetongozwa na Mwalimu wa kike

Nimetongozwa na Mwalimu wa kike

Kwa kuwa amewapenda watoto mchukue ila usizae nae... Zingatia hilo!
Akiikubali hii condition oa
 
Wewe inaelekea una rohongumu sana hivi unamtoto angalau mmoja??🤣🤣
Atakuja kama baba yake akiwa serious kunioa wataletwa 4 Mungu anijalie na mayai tu wewe ndio unaroho ngumu mf.wewe utakubali mwanamke mwingine akulele watoto wako??
Kuwa muwazi
 
Atakuja kama baba yake akiwa serious kunioa wataletwa 4 Mungu anijalie na mayai tu wewe ndio unaroho ngumu mf.wewe utakubali mwanamke mwingine akulele watoto wako??
Kuwa muwazi
Kwanini asinilelee Kuna maradhi Kuna kufa kwanini nisilelewe wanangu lakini Sio mada iliyopo
Mimi Sina roho ngumu aisee nakukaribisha sikumoja uje kwangu njoo na Hao watoto wako🤣🤣🤣
 
🤣🤣nimetongozwa , any way ni kawaida mwanamke kutongozwa ndo ajisikie vizuri ila upande wa pili nao wao nao wanahisia we ropoka tu kama unamkubali , ila Kuna watu wakitongozwa akianani wanamchecheto Halali na lazima asmulie

Hata sijui nilitaka niseme nini usiku mwema Wana JF 🥲
 
Kwanini asinilelee Kuna maradhi Kuna kufa kwanini nisilelewe wanangu lakini Sio mada iliyopo
Mimi Sina roho ngumu aisee nakukaribisha sikumoja uje kwangu njoo na Hao watoto wako🤣🤣🤣
Mimi Sina mtoto wapo kiunoni nasubiria akishatangaza Nia Kwa wote manaa nikwetu tu kaongea haya basi tuone next year ubebaji
 
Mimi Sina mtoto wapo kiunoni nasubiria akishatangaza Nia Kwa wote manaa nikwetu tu kaongea haya basi tuone next year ubebaji
Mimi pia Sina mtoto kipenz lakini sikuwahi kuwaza Kwamba sitakuja Lea mtoto awe wangu asiwe wangu iwe Kwa makusudi au Kwa bahat mbaya.
 
Huyo ni snake atakula mayai Yako taratibu kwisha utakuja juta rejea post za DeepPond za yule Jamaa yake alivyosafishiwa nyumba na huyo nesi ni Bora tu uishi hivyoo ulivyokuwa single father subiri watoto wako wajitegemee Tena iwe mwanzo na mwisho kuwakaribia wanao mfute kazi ya tuition na umpe mtu mzima zaidi aendelee kuwapa funzo ila watoto wako nope .

Maisha bhana shetani unamkaribisha mwenyewe halafu unamwita Mungu baadaye ndio maana anakaa kimya mpaka ukifunze halafu mwisho anajitokeza
 
Back
Top Bottom