converterr
JF-Expert Member
- Jan 28, 2023
- 294
- 593
Mimi nalea watoto mbalimbali.wewe huwezi.wewe nishetani.Wewe mwenyewe hufai kama mie sifai hata wewe hufai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nalea watoto mbalimbali.wewe huwezi.wewe nishetani.Wewe mwenyewe hufai kama mie sifai hata wewe hufai
Mpe ushauri 🤣🤣🤣[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Amensina hamu tena ya kuoa
Mama yangu mdogo nimeishi kwake sikuwahi kujua pale kuna watoto wawili wa nje mpaka naondoka nimekuja kujua baada ya muda mrefu sana so inawezekanaWapo my dear. Nimewaona kwa macho yangu. Hawezi kuwapenda kama kawazaa lakini kama mzazi na mlezi wapo wanawake wanaoweza. Sema asilimia kubwa ni wale wa kizazi cha kuanzia 79 kurudi nyuma. Very few though.
Acha wivuUsijaribu...weee. Pona na kaa vizuri kwanza. Jijenge, simamia watoto wako mwenyewe. As long as umetoka kutengana na mwanamke na huyu nae ni mwanamke. Utakaribisha drama na hiz zitakumaliza maana kazi ya kudeal na mwanamke mwngne mpya na akuletee visanga akati wewe tayari umevikimbia huko..nehii. Afu kwa sabbu amejua mapito yako anataka kwenda na upepo. Jitafute upya ndo uanze kuwaza sketi.
Shetani ni wewe mama Yako na ukoo mzimaMimi nalea watoto mbalimbali.wewe huwezi.wewe nishetani.
ukoo wetu unawaonea huruma watoto hata wasio wetu.kwahio sio mashetani Kama wee.badirika kuwanamoyo wahuruma basii..Shetani ni wewe mama Yako na ukoo mzima
Unajua vichaa ni wengi kama wewe nani kakuambia nahaja yakulea watoto wawatu halafu akili Huna unaniandama mie mama Yao wa kamboo kwani huoni filamu kibao za mama wakamboo au ??ukoo wetu unawaonea huruma watoto hata wasio wetu.kwahio sio mashetani Kama wee.badirika kuwanamoyo wahuruma basii..
wewe sindio umesema huwezi kulea watoto wawenzio?paka uache hio roho yako mbaya ndio nakuacha huru.kiri haraka..Unajua vichaa ni wengi kama wewe nani kakuambia nahaja yakulea watoto wawatu halafu akili Huna unaniandama mie mama Yao wa kamboo kwani huoni filamu kibao za mama wakamboo au ??
Acha uchizi kuwa na akili jifunze kufungua Hilo bichwa basi nikome aisee fuata maisha Yako mjinga kabisa umeniona Mie tu sio mtu mwingine .mxiuu roho Yako nafuu ni nzuri nikome
🤣🤣🤣Ukoje achana na Mimi nitakuloga hayaawewe sindio umesema huwezi kulea watoto wawenzio?paka uache hio roho yako mbaya ndio nakuacha huru.kiri haraka..
[emoji286][emoji286][emoji286][emoji286][emoji286][emoji286][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukoje achana na Mimi nitakuloga hayaa
[emoji1787] unanifurahishaga majibu yakoWewe mwenyewe hufai kama mie sifai hata wewe hufai
alika wachawi wako wote unao waamini muje.nawasubiri.🤣🤣🤣Ukoje achana na Mimi nitakuloga hayaa