Nimetongozwa na Mwalimu wa kike

Nimetongozwa na Mwalimu wa kike

KATAA NDOAA

NI UTUMWA


Lea wtt wako vyemaa na uwatengenezee mazingiraa matamu waje wajue thaman ya baba maana mama yao alikukabithi ingali anajuaa ww n baba boraaa,,,


Una hya miaka toka utoke kwenye manyanyaso leo tena wataka kujiingiza kwan uwezi mlaa huyo mwalimuu ukapitaa hv na wtt Wako ukawapa kile kili muhimu km mahitajii yaooo,,



ACHA NYEGEE na ujue KUZIBALANCE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Generally mwanamke kupenda watoto wa mwanamke mwingine akiwa anaishi nao Kwa muda mrefu ni kipengele sana, but exceptions siku zote zipo mkuu

Wanakujaga kama kondoo

But you can bet on her

ila aliwah kusema Albert Einstein "While intelligent people solves problems, geniuses avoid them"

Huwa nashaur watoto kuishi na mwanamke mwingine ni mpaka afikie umri wa kujenga hoja, kujitetea na kujieleza
 
Wapo my dear. Nimewaona kwa macho yangu. Hawezi kuwapenda kama kawazaa lakini kama mzazi na mlezi wapo wanawake wanaoweza. Sema asilimia kubwa ni wale wa kizazi cha kuanzia 79 kurudi nyuma. Very few though.
Mama yangu mdogo nimeishi kwake sikuwahi kujua pale kuna watoto wawili wa nje mpaka naondoka nimekuja kujua baada ya muda mrefu sana so inawezekana
 
Usijaribu...weee. Pona na kaa vizuri kwanza. Jijenge, simamia watoto wako mwenyewe. As long as umetoka kutengana na mwanamke na huyu nae ni mwanamke. Utakaribisha drama na hiz zitakumaliza maana kazi ya kudeal na mwanamke mwngne mpya na akuletee visanga akati wewe tayari umevikimbia huko..nehii. Afu kwa sabbu amejua mapito yako anataka kwenda na upepo. Jitafute upya ndo uanze kuwaza sketi.
Acha wivu
 
Hapo hajakutongoza. Hapo finally amekuonesha na kukueleza anajihisije juu yako.

Kukutongoza baasi, angeanza vitabia fulani hivi vya kichokozi. Hapo ndio ungesema kakutongoza!

Anyway, isiwe kesi. Kwani moyo wako unasemaje ukiusikiza?

Kiukweli mimi sijakaa na huyo bibie nikamjua kwa perception yangu na kumsoma ki-Psychology. Naweza nikasema hafai kumbe ni mtu mwema.

Wewe ndiye wamjua vema, fanya kuusikiliza moyo wako.
 
ukoo wetu unawaonea huruma watoto hata wasio wetu.kwahio sio mashetani Kama wee.badirika kuwanamoyo wahuruma basii..
Unajua vichaa ni wengi kama wewe nani kakuambia nahaja yakulea watoto wawatu halafu akili Huna unaniandama mie mama Yao wa kamboo kwani huoni filamu kibao za mama wakamboo au ??
Acha uchizi kuwa na akili jifunze kufungua Hilo bichwa basi nikome aisee fuata maisha Yako mjinga kabisa umeniona Mie tu sio mtu mwingine .mxiuu roho Yako nafuu ni nzuri nikome
 
Ina maana nyege huna. Kakulaisishia endelea kujilia taratibu kwa raha zako. Mungu akupe nin unataka au akupe gunia la chawa ujikune kila siku...acha ushamba chombo iyo ichukue kenge wewe.
 
Unajua vichaa ni wengi kama wewe nani kakuambia nahaja yakulea watoto wawatu halafu akili Huna unaniandama mie mama Yao wa kamboo kwani huoni filamu kibao za mama wakamboo au ??
Acha uchizi kuwa na akili jifunze kufungua Hilo bichwa basi nikome aisee fuata maisha Yako mjinga kabisa umeniona Mie tu sio mtu mwingine .mxiuu roho Yako nafuu ni nzuri nikome
wewe sindio umesema huwezi kulea watoto wawenzio?paka uache hio roho yako mbaya ndio nakuacha huru.kiri haraka..
 
Back
Top Bottom