Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Broo unasimama kutetea hawa viumbe ambao wanataka usawa kwel chema hakisaminiki kibaya husaminik wallahi hii nchi ikija kuendelea mungu aje watu wenye nguvu na ushawishi wa kuleta maendeleo kama makonda ndo wanapigwa spana ili wavimbia matumbo wala rushwa wapate sehem ya kula wakiwaacha masikini katika ufukara mkubwa aisee mungu aje tu tufe ote shida hizi zimenichosha nimechoka kuteseka na nchi ambayo masikin anazid kuwa masikin kazi rushwa kila sehem rushwa sasa watot wa masikini tufanayje
 
KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAMWOMBA RAIS WETU MAMA YETU SAMIA H. SULUHU TULETEE MAKONDA KWETU HUKU MWANZA. Makonda ni kijana mchapa kazi tulimzaa na kumlea wenyewe. Huko ulikompeleka wale watu hawanaga nidhamu ya kazi, tuletee nyumbani kijana wetu wala hatutamfanyia mambo ya hiyana kama wanavyomfanyia hao.
 
Wee huko mtaami unasaga nyasi alafu unataka kutuletea habari zinazokuzidi! Mxiuuuuh!!
 
Yeye mwenyewe ALISEMA, wavivu na Wala Rushwa Wana UMOJA sana😂😂😂😂 Kila nikiangalia Uzi zinazomuhusu jamaa na comment zake,zinaniriudisha kwenye hii kauli
 
GSM nae ana usafi gani?
 
Akitemwa nitafanya sherehe
 
sio rahisi namna hiyo. mwenye kula kichwa angekuwa msikivu angesikiliza ushauri aliopewa hadi watu wakamsingizia makubwa kama vile ukiona dogo anatoka chumbani kwa bimkubwa wako mheshimu. jambo linaloweza kuwa sio la kweli ila kutokana na ambavyo hakusikiliza ushauri, watu walimwambia sana kwamba hicho ni kirusi, kifute kabisa. hata alivyomtetea kwa mwarabu wa yanga kuhusu ile nyumba si unakumbuka alimsema kwenye kikao kwamba mwarabu na wewe tunajua mambo yako mengi yasiyofaa, si alikuwa anamtishia ili aachie nyumba ya mwenyewe huyo, kituko cha taifa, chukizo la uharibifu wa nchi, na aibu ya uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…