Dada wa watu kajibu kistaarabu kabisa..... Konda boy akawa anamuingilia kabla hajamaliza ili tu amchanganye..Yuel dada alijibu kwa dharau kwenye mambo serious,,inawezekqna alifanya hivyo ili wapate sbb yakumtumbua sbb wanamtafuta
Alivimba kichwa sana baada ya kupewa second chance akadhani anaogopwa na kuheshimiwa kumbe alikuwa anahurumiwa.Huyo jamaa huwa hajifunzi I don't know why! Dah!
Asante.
Hakuna mahala popote alipojibu kwa dharau. Jamaa tu ndiyo kajichnganyaYuel dada alijibu kwa dharau kwenye mambo serious,,inawezekqna alifanya hivyo ili wapate sbb yakumtumbua sbb wanamtafuta
Jamaa anajisahau sana. Sijui huwa anataka ku'prove' nini. Kwa upande mmoja anadai anatetea haki. Kwa upande mwingine anaikanyaga na anabaki kwenye zero. Mbwembwe nyingi mno!Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Moderator rekebisheni heading hapo pasomke NImetonywa
Kumbe yumo humu?Paul Makonda mwisho wako umefika.
Dada wa watu kajibu kistaarabu kabisa..... Konda boy akawa anamuingilia kabla hajamaliza ili tu amchanganye..
Nadhani anaandamwa na laana ya damu za watu alizozimwaga awamu ya 5.Kwa Makonda wanaompa uongozi wanalazimisha. That chap is good for nothing.
Mbona mnatumia nguvu nyingi? Kwahiyo hiyo kauli ndo udhalilishaji?Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Moderator rekebisheni heading hapo pasomke NImetonywa
Serious gani wewe, majitu majizi na mazembe lazima yacharazwe viboko.Yaani issue iko serious kinyama. Wanatemana naye soon
Was it necessary to say those words?
🤣🤣🤣🤣 jamaa wajinga sana.Mbona mnatumia nguvu nyingi? Kwahiyo hiyo kauli ndo udhalilishaji?
Watizedi mnatabu sana
Hakuna hekima kwenye ujinga.Was it necessary to say those words?
Shida ya Paul Makonda ndiyo hiyo.
Ni kama ya alivyokuwa baba yake John P. Magufuli.
√ Wote hafikiri kabla ya kupanua midomo yao kusema.
√ Wote wakati wowote wanaweza kumdhalilisha yeyote bila haki
√ Wote walinyimwa akili ya hekima na busara!
Sasa hayo maneno yana shida gani?! Unless kama walikuwa wanamtafutia angle ya kumtumbua tu.
Umenikumbusha theories za huyu mwambaKwenye haya maisha, omba sana Mungu akuwezeshe ufike stage ya SUPEREGO....
Hii ndiyo highest level of personality awareness..
Shida ya Konda boy ana EGO kubwa, na kwa kiongozi kuwa na big ego ni hatari maana utayakanyaga tuu..
View attachment 2998551
mhh mpaka mama etu kavua ushungi ujue "kazi ipo"View attachment 2998568
Mtumbuaji na mtumbuliwaji, endelea kutonywa