Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Hata dada atoe hoja gani hapo hawezi kueleweka, maana bashite anataka achukue point tatu
mbona kama unamtetea?Nyodo za huyo dada ziko kwenye hiyo clip au kuna clip nyingine
Nani amtumbue? Makonda is in the house, and is here to last, ameingilia mlango wa jikoni, muda si mrefu mutamuona akiwa sebuleni.Yuel dada alijibu kwa dharau kwenye mambo serious,,inawezekqna alifanya hivyo ili wapate sbb yakumtumbua sbb wanamtafuta
Tatizo mnakula nauli alafu hamjiHii wiki ngumu sana kwetu wanawake, huku tunasimangwa kwa yaliyomkuta Penina, huku tunadhalilishwa!
Yatapita tu.
Kazi za Mshana Jr, sijui?La kuvunda halina ubani.
Mbona sioni ill motive ya Mkuu wa Mkoa hapo. Au kusema ameo na ana "Mke mzuri" ndiyo mnaona ni tatizo? Mlitaka aseme ana Mke Mbaya?
Ni vizuri ukiondoa hii picha.View attachment 2998568
Mtumbuaji na mtumbuliwaji, endelea kutonywa
Nakuamini wa NdanindaniWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Konda baba !Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Kubebana kwa kunamuharibia hadi yeye sasa mimi ni shabiki yake mkubwa sana ila kwa hili la huyu jamaa namshangaa aliomteua unaachaje mtu anakuharibia namna hiiWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Mama Samia, bomu hilo unalilea, si lazima likupasukie!Kwa Makonda wanaompa uongozi wanalazimisha. That chap is good for nothing.
Kikiwemo cha KIPANYA!
Akifukuzwa ajiunge na watu kama akina Mpina waanzishe Chama Chao 👁Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Marehemu shetaniWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.