Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Mama atafanya nini sasa!? Mko attention sana kuangalia paulo atajikwaa wapi!
Ndiyo maana hata mhuni mmoja chimakeke anawaambia hata nyie viongozi wa nchi hii "mtoke maghetoni mkashughulike na kero za wananchi."
Mnakaa kwenye keyboard hapa lakini kuwatumikia wananchi hamtaki 🤬
Ndiyo maana hata mhuni mmoja chimakeke anawaambia hata nyie viongozi wa nchi hii "mtoke maghetoni mkashughulike na kero za wananchi."
Mnakaa kwenye keyboard hapa lakini kuwatumikia wananchi hamtaki 🤬