Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Wanachagua vichaa kuwa viongozi
 
Hao wanaobehave wamefanya nini la maana! Nyioe wabongo wanafiki na hamna jema! Hao viongozi wanaojidai wana hekima ndo hao wanauza banadari na kufanya ujinga ujinga kila leo! Acha kila mtu abebe msalaba wake!
Mtu abebe msalaba kwa kutwezwa? Huko ambako siyo bongo watu wanakodhalilishana ni wapi?
 
Kabisa 👁😇
 
Nendeni mkamfufue huyo mshamba wenu ingawa hii nchi si mali yake. Akichemsha lazima aondoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…