Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Kama umezoe kudhalilisha wengine huwezi kuona udhalilishaji pale? Kama hujauona basi ni dhahili wewe una ufinyu mkubwa wa akili kuliko hata mmKatika ufinyu wako huohuo wa akili , Clip Ile udhalilishaji uko wapi?.
Makonda angetumia akili angekuwa kiongozi mzuri, ila kundi linamharibu, ataishia kubaya na asionekane tena. Kn aliyekuwa Rais wa Zanzibar Aboud Jumbe alipotezwa kwenye ramani kwa maslahi ya nchi, MAKONDA ni nyau gani nchi hiiPaul Makonda mwisho wako umefika.
Hata yule mwanamke ni lipumbavu lisilo na adabu. Inaonekana lina mkubwa fulani, kabla ya Makonda achunguzwe lile jike, km vp atangulizwe yeye, aondoke kwenye utumishi wa umma aende kumtumikia huyo lofa wakeWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Kama umezoe kudhalilisha wengine huwezi kuona udhalilishaji pale? Kama hujauona basi ni dhahili wewe una ufinyu mkubwa wa akili kuliko hata mm
.Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Makonda Hana Kundi.Makonda angetumia akili angekuwa kiongozi mzuri, ila kundi linamharibu, ataishia kubaya na asionekane tena. Kn aliyekuwa Rais wa Zanzibar Aboud Jumbe alipotezwa kwenye ramani kwa maslahi ya nchi, MAKONDA ni nyau gani nchi hii
Because he is a lunaticHuyo jamaa huwa hajifunzi I don't know why! Dah!
Nani alimlazimisha kujiby hovyo, yule ni mpinzani aondoke awatumikie wapinzaniYuel dada alijibu kwa dharau kwenye mambo serious,,inawezekqna alifanya hivyo ili wapate sbb yakumtumbua sbb wanamtafuta
Wabarikiwe kwa kuwa na kiongozi mdhalilishaji?Makonda Hana Kundi.
Arusha wamebarikiwa kua na Makonda.
Makonda ni kiongozi mzuri, yule mwanamke ni mhuniKalele kadada hakajui kujibu swali akiulizwa na wakubwa wake. Hata angekuwa siyo Makonda, lakini majibu yoyote kwa wakuu wako yana ustaarabu wake, yana mtiririko wake. Ni kwa akili ya order, utulivu, heshima na ustahimilivu.
.
Kadhalalisha nani and how ??.Wabarikiwe kwa kuwa na kiongozi mdhalilishaji?
Dah, kumbe!
Haswaa, ongeza na ile laana ya kumpiga makofi mzee WariobaNadhani anaandamwa na laana ya damu za watu alizozimwaga awamu ya 5.
Hata tukikuambia hutaelewa kwakuwa inaonekana ni hulka yakoKadhalalisha nani and how ??.
Huna akili ndio maana unamuona mshambaNendeni mkamfufue huyo mshamba wenu ingawa hii nchi si mali yake. Akichemsha lazima aondoke.
Cha kushangaza MAKONDA ni jitu jasiri lilisema wazi siku ya kwanza hata nikiwa mkuu wa mkoa kwa siku moja tu kuna wazembe na wavivu maofisini watajua mwanaume mwenye maamuzi kapita ,Makonda haogopi kitu ,hakumbatii ukuu wa mkoa ,apigi magoti kwa yoyote atafanya anavyojua yeye sio unavyotaka wewe.Makonda hana njaa ya kuongea kumfurahisha mtu.KIONGOZI BORA KABISAWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Ufinyu wako wa akili ndio unafanya usione udhalilishaji!Katika ufinyu wako huohuo wa akili , Clip Ile udhalilishaji uko wapi?.
Anataka kulifurrahisha kundi linnlomuaudu marehemu.....lile la Kanda pendwa.Huyu hapana, was all that necessary! Usiongee kama unaongea na mchumba wako, Mimi Nina mke, tena mzuri, aliyemwambia mkewe mzuri nani, kwani anahisi huyo dada mbaya! Shida ya kulazimisha attention zisizo na umuhimu. Unataka kuiga hata vya kipumbavu.